Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Kuporwa au Kupigwa mnada baada ya KUSHINDWA kulipa faini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha wewe bure kabisa eti hela za nyie mliofanikiwa huwez kufanikiwa bila kufanya kazi na maskini wa hali ya chini kila kitu lazima watu wa chini wa husike na ndio unaowauzia hizo bidhaa zako na ndio wanaokupa jeuri ya kulipa kodi acha kujifanya kama sio mjingaHela za sisi matajiri wafanyabiashara tuliofanikiwa ndio zinazoendesha serikali ya Tanzania
Usimuingize Mungu kwenye upumbavu wako!Mmmmmm hata Mungu hakumpenda Jirani yake shetani kule mbinguni