Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Kuna kitu kinaitwa *ujirani mwema*hahahahaha waendelee kuwafidia lakini wawafundishe kuheshimu mipaka na sheria za nchi nyingine...............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu kinaitwa *ujirani mwema*hahahahaha waendelee kuwafidia lakini wawafundishe kuheshimu mipaka na sheria za nchi nyingine...............
Zile ng'ombe serikali yenu yenye utu ilizozipiga risasi itazifidia lini?Eti ng'ombe wa gavana sharobaro Mike Sonko ndo walikamatwa? Mike Sonko si mmaasai wala sidhani hata awe ni mkulima atawalisha ng'ombe wa kuhamahama. Watz na habari za uongo na kitoto ni kama tu nane na tisa zinaandamana pua kwa mkia.
Tumia akili kidogo basi...Usilolijua ni kama usiku wa giza wafugaji wa Kenya mifugo yao inakufa kwa ukame kwa maelfu na ushahidi upo serikali ya Kenya haijawahi wafidia!!!! Wanajifidia wanasiasa wamiliki hizo ngombe hujiulizi swali dogo tu kwa nini mumiliki wa vifaranga mkenya vilivyopigwa moto Tanzania mbona hawajamfidia huyo mkenya mwenzao aliyemuuzia mtanzania? jibu huyo Muuza vifaranga mkenya sio mwanasiasa kule Kenya
Zilizopigwa risasi ni ngombe 70 acha propagandaWanasiasa wa kenya ni wanafki sana mbona hawajafidia ng'ombe zaidi ya 2000 ambazo police wa kenya walizipiga risasi?
Kiuchumi Kenya inaitegemea Tanzania believe me!tutegemee vita kali Kati ya TZ na Kenya kwenye uchumi
Inauma eeh?Wanasiasa wa kenya ni wanafki sana mbona hawajafidia ng'ombe zaidi ya 2000 ambazo police wa kenya walizipiga risasi?
Katika lipi ?Kiuchumi Kenya inaitegemea Tanzania believe me!
Naona aibu sana kuwa miongoni mwa raia wa Tanzania .
Hamia somalia basiNaona aibu sana kuwa miongoni mwa raia wa Tanzania .
Soko kubwa LA bidhaa za Kenya liko Tanzania hivyo Kenya inaitegemea sana Tanzania kiuchumiKatika lipi ?
If you need equity do equity ni majuzi tuu walikwenda mitaani na kuwakamata omba omba na kuwaweka korokoroni yap! ni sheria zao mbaya zaidi walisingizia ni Wabungo hakuna ushahidi kama ni kweli hawakujua kuna huo ujirani mwema? hapa ni mbyai mbyai tuu?Kuna kitu kinaitwa *ujirani mwema*
Tanzania huijui watanzania wengi hawajali kuwa una pesa au bilionea Ndio maana uchaguzi uliopita walimpa uraisi magufuli wangekuwa wanajali nani ana pesa na wangempa Lowasa kuwa Raisi .Money is not everything in Tanzania take note when you deal with Tanzania.Many Tanzanians motivation factor is not money or richness like in Kenya