Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Hakuna Mwanaccm anayeamini Mungu , unapoteza Muda wako bure mkuu .Hii ni KUFURU. Tafadhali Yehodaya mwombe Mungu wako msamaha. Kufuru hii adhabu yake ni KIFO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Mwanaccm anayeamini Mungu , unapoteza Muda wako bure mkuu .Hii ni KUFURU. Tafadhali Yehodaya mwombe Mungu wako msamaha. Kufuru hii adhabu yake ni KIFO.
Sahau kabisa fukara Tanzania kupambana na kibopa Kenya , mtaumia vibaya sana !Welcome to the economic war grounds
Mkuu sasa ukipata kitu kwa mkopo ndio unakuwa hujanunua? Alinunua ila ni kwa mkopo na anatakiwa alipe hilo swala la kuunguziwa vifaranga linamhusu mtanzania na anatakiwa alipe deni la watu kule alipokopa(samahani kukuuliza hili swali mkuu ulishawahi kufanya biashara?)Hakununua alikopa
Nenda Somalia ukaone alshabab matako yako nje nguo hawana wanalala uchi kwa umaskini lakini uone wanavyosumbua wakenya na walivyofanya wakenya wakose usingizi si kila MTU yuko interested na pesa na utajiri uelewe hilo waweza kuwa tajiri na ukahama nyumba na mtaa kwa kusumbuliwa na panya road maskini wa kutupwa ambao hata pa kulala hawanaSahau kabisa fukara Tanzania kupambana na kibopa Kenya , mtaumia vibaya sana !
Ruksa ruksa ruksa na kitajibiwa accordingly.No fear here in TanzaniaKilichobaki sasa ni serikali ya Kenya kufanya mikikati ya kulipiza pesa ilizozipoteza, hakuna cha bure bana. Watz mtaelewa vizuri tu karata za kikenya hivi karibuni.
Fala wewe hakuna mtu anaeitwa mike ole sonko mwehu wewe hujui ulinenalo.hakuna unachojua zaidi ya vipropaganda vyako mfu.Ngombe hizo zilizoshikwa mmojawapo wa wamiliki ni gavana wa kajiado fisadi Mike Ole sonko
Ngombe hizo zilizoshikwa mmojawapo wa wamiliki ni gavana wa kajiado fisadi Mike Ole sonko
Asante kunisahihisha nimerekebisha hizi ngombe zilizoshikwa zinamililikiwa na huyo gavana wa nairobi Mike sonko na huyo wa kajiado josephat Ole lenku na ndio nikasema kuna wanasiasa wakenya wamiliki hizo ngombeFala wewe hakuna mtu anaeitwa mike ole sonko mwehu wewe hujui ulinenalo.hakuna unachojua zaidi ya vipropaganda vyako mfu.
gavana wa nairobi anaitwa mike sonko.
gavana wa kajiado ni josephu ole lenku chizi wewe na takataka yako ccm.
Acha itokee tupambane na hali zetu kipi tunachofaidika nacho acheni woga ndgu zetu wakulima wanaokufa kiteto na morogoro siyo bora kuliko hao wakenyatutegemee vita kali Kati ya TZ na Kenya kwenye uchumi
.....Vijana wanakamsemo....inachooomaaa kama pasi!! hahaaaaaa...Mmmmmm hiyo mifugo ilikuwa yake au ya familia za wanasiasa wa Kenya? Yule alikuwa mchunga ngombe tu .Kichwa cha habari kisomeke wanasiasa wa Kenya wamiliki ngombe zilizoshikwa Tanzania wawaibia wakenya kodi zao na wajilipa fidia ya ngombe zao walizokuwa wakilisha Tanzania kinyume cha sheria
Tell that to the Kenyan pastoralist, whose 300 cows where gunned down for cross farm grazing in Kenyan territoryNawaonea wivu sana Wakenya .
....kwani yeye ni raia wa Somalia?Ngombe hizo zilizoshikwa mmojawapo wa wamiliki ni gavana wa kajiado fisadi Mike Ole sonko
Ni hawa nyumbu wachache, ni wa kuwapuuza.Watanzania hebu tuelewe kuna vitu tunaweza kuongea na kufanya ikiwa vinaleta maumivu kwetu hivi mnajua au mnauchungu na wakulima waliokuwa wanavamiwa na kuuwawa kiteto na mvomero na pia huwa mnajiuliza huko kagera wafugaji wa ng'ombe ni asilimia ndogo sana ya watanzania wengi ni rwanda na uganda hv unamtofautishaje masai wa mvomero na masai wa kenya kama ndgu mliozaliwa na baba mmoja mama tofauti hamjaliani sembuse kenya huo undugu mnautoa wapi tulinde kilicho chetu kwa manufaa ya kizazi chetu na kijacho hebu acheni hayo mambo hebu jaribuni kubeba msalaba wa wakulima waliopatwa na maswahibu hayo ya kuuwawa na jamii ya wafugaji na huenda siyo watanzania hv mnajiskiaje