Serikali ya Kikwete ishitakiwe kwa kupoteza pesa za umma kupitia mchakato wa Katiba mpya

Serikali ya Kikwete ishitakiwe kwa kupoteza pesa za umma kupitia mchakato wa Katiba mpya

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Serikali ya awamu ya nne chini ya Mh. Kikwete ilitumia fedha nyingi (billions of Tanzania shillings) kuchakata katiba mpya. Baadaye mchakato ulipopamba moto na kugusa maslahi binafsi ya wachache mchakato ukatupwa kapuni.

Pesa zikapotea, muda ukapote.

Ni wakati sasa serikali ile ya Kikwete ishitakiwe ieleze kiasi cha fedha kilichotumika, pia waeleze sababu ya kuutupilia mbali mchakato ule kinagaubaga.

Wakufungwa afungwe, wakuachiwa huru ataachiwa.

Hii tabia ya kuteketeza mabilioni ya fedha huku wanachi wengi ni mafukara haikubaliki.
 
Goood!

Hizi ndio pointi sasa na sio hizo blablaa zingine hizo!

Tulitegemea katiba nzuri inayokidhi matakwa ya watanzania, badala ya kupata Katiba, tukapata ukawa usio na tija!

Zitafutwe kura za wananchi wasiopungua m.1, tayari kwa kuongia mahakamani kudai fedha zetu zilizoibwa kwa kutuhadaa kwamba tutapata katiba, kumbe ilikuwa njia ya wanasiasa kwenda kupiga pesa zetu
 
Rais Kikwete aondolewe kinga ashitakiwe. Yeye kwa authority yake angeweza kufanikisha upatikanaji wa katiba mpya.
Alikubali vipi mabilioni yateketee bure?
Kwa katiba hii ya 1977. Rais wa Tanzania ni Alfa na Omega . Kumbuka kisa cha mswaada wa Gas na Mafuta. Jamaa alikuwa Amebakiza miezi miwili tu ofisini. Lakini wabunge na spika wao Mama Makinda waliufyata pamoja na wapinzani kupiga mwano!
 
Haya mashitaka ni suala la muda nadhani maana mmoja wa Watanzania wazalendo Jenerali Ulimwengu alilitamka hili hadharani bila aibu wala woga pale Nkrumah Hall, USDM mbele ya Mkapa, Magu na JK mwenyewe.
 
Rais Kikwete aondolewe kinga ashitakiwe. Yeye kwa authority yake angeweza kufanikisha upatikanaji wa katiba mpya.
Alikubali vipi mabilioni yateketee bure?
Kwa jinsi mchakato ulivyokuwa umepangwa serikali ile iliukamiliza hatua zote ukabaki hatua ya kupiga kura wananchi kuikubali au kuikataa kabla ya hatua hiyo ndio mambo ya uchaguzi mkuu yakaingi, much as you have very good point lakini ukisema ushtaki hakutakuwa na substance ya ku hold hio kesi.
 
Rais Kikwete aondolewe kinga ashitakiwe. Yeye kwa authority yake angeweza kufanikisha upatikanaji wa katiba mpya.
Alikubali vipi mabilioni yateketee bure?
wakati yeye ndo aliyeuharibu baada ya kuona maslahi yake yanahatarishwa.wakuu mmeisahau ile hotuba yake pale bunge ambayo ilibadisha kabisa hali ya hewa na kikao cha katiba kikavurugika.
 
Ngoja nikaisokilize hiyo hotuba
wakati yeye ndo aliyeuharibu baada ya kuona maslahi yake yanahatarishwa.wakuu mmeisahau ile hotuba yake pale bunge ambayo ilibadisha kabisa hali ya hewa na kikao cha katiba kikavurugika.
 
Ninachojua ni kuwa mchakato wa katiba ulibaki hatua ya kupiga kura za maoni kuwa wananchi wanakubali rasimu ya Chenge au la, ila Magufuli alipoingia madarakani aligoma kuendelea na phase ya kura ya maoni, sasa hapo sijui JK anaingiaje!
 
Serikali ya awamu ya nne chini ya Mh. Kikwete ilitumia fedha nyingi (billions of Tanzania shillings) kuchakata katiba mpya. Baadaye mchakato ulipopamba moto na kugusa maslahi binafsi ya wachache mchakato ukatupwa kapuni.

Pesa zikapotea, muda ukapote.

Ni wakati sasa serikali ile ya Kikwete ishitakiwe ieleze kiasi cha fedha kilichotumika, pia waeleze sababu ya kuutupilia mbali mchakato ule kinagaubaga.

Wakufungwa afungwe, wakuachiwa huru ataachiwa.

Hii tabia ya kuteketeza mabilioni ya fedha huku wanachi wengi ni mafukara haikubaliki.
watu walitajirika kupitia huo mchakato
 
Serikali ya awamu ya nne chini ya Mh. Kikwete ilitumia fedha nyingi (billions of Tanzania shillings) kuchakata katiba mpya. Baadaye mchakato ulipopamba moto na kugusa maslahi binafsi ya wachache mchakato ukatupwa kapuni.

Pesa zikapotea, muda ukapote.

Ni wakati sasa serikali ile ya Kikwete ishitakiwe ieleze kiasi cha fedha kilichotumika, pia waeleze sababu ya kuutupilia mbali mchakato ule kinagaubaga.

Wakufungwa afungwe, wakuachiwa huru ataachiwa.

Hii tabia ya kuteketeza mabilioni ya fedha huku wanachi wengi ni mafukara haikubaliki.
Sema ccm woote washitakiwe kwa ubakaji wa demokrasia na ubakaji wa mawazo ya katiba mpya.
 
Rais Kikwete aondolewe kinga ashitakiwe. Yeye kwa authority yake angeweza kufanikisha upatikanaji wa katiba mpya.
Alikubali vipi mabilioni yateketee bure?
Ufisadi chini ya awamu ya 5 ulitamalaki na kuweka rekodi tangu taifa lipate uhuru haijawahi kushuhudia ufisadi kama huo
 
Back
Top Bottom