Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nawaona wafuasi wa Jiwe mkiwa kazini kutafuta legacy ya kulazimisha ya mwendazakeKumshtaki Kikwete wakati Rais wa sasa anamtegemea kwa masuala mengi akiwa ndio mstaafu pekee mwenye nguvu ya kimwili na kifikra ni kupoteza muda bure.
JK ana ushawishi mkubwa sasa kuliko wakati mwingine wa miaka ya nyuma.