Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgh= potential Energy..Mgh.
KUFUNGA ni Tendo la sirini, Si hadhara.Kwa Katiba ya Zanzibar kama unabisha nenda ukale mchana wakati wa Ramadan au kafungue bucha ya Nguruwe 🐼
Wewe inaonyesha ni kijana wa juzi hizo sheria zipo znz tokea Rais wa mwanzo karume mkubwaSalaam,Shalom.
Nadhani swali linajieleza,
Kwamba Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini?
Ikiwa Ina dini, dini Gani?
Na issue ya mtu KUFUNGA ni Tendo la Siri au la hadhara?
Karibuni[emoji120]
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani ? sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sanaWaislamu hawajawahi kuwa wastaarabu
Pole sanaKosa vyote lakini usikose AKILI
Imesimama njoo ukalieSheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani ? sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
Taja vifungu vya Sheria mama,yaani Katiba.Wewe inaonyesha ni kijana wa juzi hizo sheria zipo znz tokea Rais wa mwanzo karume mkubwa
Kwani Serikali ya Muungani ina dini? Tunaona sikukuu zote za kikristo na kiislamu ni siku ambazo ni mapumziko. Hii imekaaje? Si tungekuwa tunaenda kazini tuSalaam,Shalom.
Nadhani swali linajieleza,
Kwamba Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini?
Ikiwa Ina dini, dini Gani?
Na issue ya mtu KUFUNGA ni Tendo la Siri au la hadhara?
Karibuni[emoji120]
Thibitisha kisheria na kikatiba..Zanzibar ni nchi ya Kiislam Kitambo sana 🐼
Swali lingine?
Hawa jamaa wajinga sana na huo mdini wao wa ajabu.Salaam,Shalom.
Nadhani swali linajieleza,
Kwamba Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini?
Ikiwa Ina dini, dini Gani?
Na issue ya mtu KUFUNGA ni Tendo la Siri au la hadhara?
Karibuni🙏
Imani Yao waachie,Hawa jamaa wajinga sana na huo mdini wao wa ajabu.
Wewe ni mweusi tii, unaanza je kukomalia mila za wenye ngozi ya kitimoto?
Mapumziko yapo kisheria za kimataifa kabisa,Kwani Serikali ya Muungani ina dini? Tunaona sikukuu zote za kikristo na kiislamu ni siku ambazo ni mapumziko. Hii imekaaje? Si tungekuwa tunaenda kazini tu
Hilo hatutaruhusu,Ni ushamba tu. Wanashindwa vumilia dini nyingine.
Koti la muungano limebana sana. Wajitenge wawe na dola la kiislam hawa wabaguzi
Itaje ukinukuu KATIBA ya 1984.
Bara ni wapaganiSalaam,Shalom.
Nadhani swali linajieleza.
Kwamba Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini?
Ikiwa Ina dini, dini Gani?
Na issue ya mtu KUFUNGA ni Tendo la Siri au la hadhara?
Karibuni🙏