Serikali Ya Mtaa Tupieni Jicho Kundi kubwa la watoto wanaoishi Daraja La Kijazi

Serikali Ya Mtaa Tupieni Jicho Kundi kubwa la watoto wanaoishi Daraja La Kijazi

Kidenga

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
233
Reaction score
676
Tunaomba wahusika wa mtaa lilipo Daraja La kijazi( Ubungo Mataa) Mtupie jicho kundi kubwa la watoto waliofanya makazi yao eneo la Daraja. Ni Muda sasa watoto hawa wanalala maeneo ya Daraja na wanafanya shuhuli nyingi ikiwemo kupika. Kwa wale wanaoenda Makazini asubuhi nadhani mnajionea watoto hawa wakiwa wamelala maeneo haya. Ni kundi la zaidi ya watoto 20.

Ni Muhimu kuondoa kundi hili Mapema kuepuka changamoto za kiusalama zinazoweza kujitokeza siku za usoni

Wahusika fuatilieni watoto hawa ikiwezekana wapelekwe sehemu maalumu za kulelea watoto


Nawasilisha
 
Tunaomba wahusika wa mtaa lilipo Daraja La kijazi( Ubungo Mataa) Mtupie jicho kundi kubwa la watoto waliofanya makazi yao eneo la Daraja. Ni Muda sasa watoto hawa wanalala maeneo ya Daraja na wanafanya shuhuli nyingi ikiwemo kupika. Kwa wale wanaoenda Makazini asubuhi nadhani mnajionea watoto hawa wakiwa wamelala maeneo haya. Ni kundi la zaidi ya watoto 20.

Ni Muhimu kuondoa kundi hili Mapema kuepuka changamoto za kiusalama zinazoweza kujitokeza siku za usoni

Wahusika fuatilieni watoto hawa ikiwezekana wapelekwe sehemu maalumu za kulelea watoto


Nawasilisha

Ninapita hapo mara kwa mara katika shughuli zangu.
Hawa watoto wamejiingiza kwenye kuvuta petroli na gundi za viatu ili kupata kilevi. Utaona wengi wao wamevaa mashati au masweta ya mikono mirefu na kuna kama chupa hivi kaifunga mkononi ndani ya hilo sweta na mara kwa mara ana nyanyua mkono kupeleka puani ili kuifikia hiyo chupa na kuvuta.
Hili ni janga.
Wahusika chukueni hatua....
 
Ninapita hapo mara kwa mara katika shughuli zangu.
Hawa watoto wamejiingiza kwenye kuvuta petroli na gundi za viatu ili kupata kilevi. Utaona wengi wao wamevaa mashati au masweta ya mikono mirefu na kuna kama chupa hivi kaifunga mkononi ndani ya hilo sweta na mara kwa mara ana nyanyua mkono kupeleka puani ili kuifikia hiyo chupa na kuvuta.
Hili ni janga.
Wahusika chukueni hatua....
Aisee
 
Serikali ipo busy kutafuna,acha kusumbua watu wanaostarehe.
Uk.jpg
 
Tunaomba wahusika wa mtaa lilipo Daraja La kijazi( Ubungo Mataa) Mtupie jicho kundi kubwa la watoto waliofanya makazi yao eneo la Daraja. Ni Muda sasa watoto hawa wanalala maeneo ya Daraja na wanafanya shuhuli nyingi ikiwemo kupika. Kwa wale wanaoenda Makazini asubuhi nadhani mnajionea watoto hawa wakiwa wamelala maeneo haya. Ni kundi la zaidi ya watoto 20.

Ni Muhimu kuondoa kundi hili Mapema kuepuka changamoto za kiusalama zinazoweza kujitokeza siku za usoni

Wahusika fuatilieni watoto hawa ikiwezekana wapelekwe sehemu maalumu za kulelea watoto


Nawasilisha

Umeweka ubinafsi, kwa hiyo watolewe kwa ajili ya Usalama, na sio kwa ajili ya a ustawi wao? Bora wakae tu then. I think
 
Back
Top Bottom