Serikali ya Rais Samia inajenga vyuo 89 vya VETA nchi nzima. Haya ni mapinduzi kwenye sekta ya elimu ya ufundi

Wameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
Your browser is not able to display this video.
 
Was your so called "mama" not part of the former regime??
Pathetic loser!
Of course yes ,so long as she was sidelined it is equally right to say she was not part of Jiwe regime thus why under his reign we see significance positive changes across sectors as opposed to former regime.
 
Sawa chawa wa ccm,ila kwa sasa wenye akili tunaelewa taifa linakoenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitaka shangazi yako ndiye ajenge wakati wakati hakusanyi kodi! Kuishi na wewe nchini ni mzigo mkubwa na sijui kwanini haupelekwi kwa mwendazake.
Unatokwa na povu la tigo sababubya chuki kwa ssh 😜😜😜😜.

Siku zako za kuishi Duniani Ni chache Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…