Serikali ya Rais Samia isijisumbue Hayati Magufuli alieleza kila kitu na aliweka wazi matatizo ya nchi hii

Ukweli mchungu
 


Upewe ulinzi mkuu
 
Masalia wanaona wanaonewa wamebaki kulia kama mayatima.
 
Ni kweli inaudhi lkn ndiyo hivyo tena. Wameshika mpini makali yote yameelekezwa kwa wananchi
Hao wananchi unaowazungumzia hapa watakuwa wana walakini, pengine ni wajinga; au hata kuwa WAPUMBAVU kabisa, kwani wao ndio wanaopashwa kuwa washika mpini!
 
Hao wananchi unaowazungumzia hapa watakuwa wana walakini, pengine ni wajinga; au hata kuwa WAPUMBAVU kabisa, kwani wao ndio wanaopashwa kuwa washika mpini!
Hilo liko wazi kwamba watanzania ni wajinga na wapumbavu
 
Magufuli ndiye chanzo cha tatizo lote la umeme tulilonalo sasa hivi kwa sababu alikuwa populist.
View attachment 2017719
Behaviourist unatuhaibisha sana watanzania unaposhindwa kutumia akili zako vizuri na kuendekeza ushabiki usiokusaidia chochote katika taifa hili. Sisi sote ni mashabaki lakini tunapoona kuna baadhi ya mambo madogo yanafeli ambayo hata mtoto mdogo angeyatimiza huwa tunaweka ushabiki pembeni ni kusimamia ukweli. Ungejisikiaje siku moja ukipanda Daladala za Dar es Salaam na kukutana na watanzania ambao hawajaoga wiki nzima wakitoa harufu ya jasho. Ungejiskiaje kuuingia vyoo vya pale stendi ili ujisaidie unakuta hakuna maji.
 
Baada ya maelezo yake aliyatatua hayo matatizo au? Hakuna nafasi ya ujinga awamu hii
 
Hawa Waswahili wa Pwani wakisha takeover, it's a guaranteed downward spiral from day one. Hawa ni wazungumzaji wazuri wa Kiswahili ndiyo lugha yao ya asili Tanzania hii. They will feed us nonsense after nonsense.
Hiki ndicho shujaa wenu kilaza kakufanya kwenye hii nchi 👇



 
Hilo liko wazi kwamba watanzania ni wajinga na wapumbavu
Sasa itakulazimu uelewe kwamba "ujinga" huondoka na waTanzania wataondokana na ujinga, hili lipo wazi kabisa.

"Upumbavu"? hili sina hakika nalo kama unaweza kuponyeshwa; lakini kama wapo wapumbavu miongoni mwa waTanzania hawa sio wengi. Kwa hiyo tegemea matokeo utayaona muda si mrefu.
 
Magufuli ndiye chanzo cha tatizo lote la umeme tulilonalo sasa hivi kwa sababu alikuwa populist.
View attachment 2017719
Hayo maelezo aliyotoa siyo ya kweli kabisa kwa sababu kilimo hicho hakikuanza jana tu, bali kimekuwapo siku zote na wakati wa utawala wa magufuli kilishamiri sana lakini hakukuwapo upungufu wa maji.
 
Hayo maelezo aliyotoa siyo ya kweli kabisa kwa sababu kilimo hicho hakikuanza jana tu, bali kimekuwapo siku zote na wakati wa utawala wa magufuli kilishamiri sana lakini hakukuwapo upungufu wa maji.
Ukweli wa hili tatizo ni upi Sasa?..
 
Huyu Mwamba ametuachia ufahamu wa hali ya juu kuhusu utendaji wa serikali na mbinj za wapigaji.Tulibahayika sana kumpata JPM
 
Kumbe yule roho chafu alifanikiwa hivi kudanganya watu! Harudi yule muelewe hivo Yani
 
WATANZANIA WALIMUELEWA NA KUMUAMINI SANA JPM NA HUWAAMBII KITU.

AWAMU YA 6 POLENI SANA PAMOJA KWA KUMRUSHIA LAWAMA WATANZANIA BADO WAKO NA JPM.

SAKATA LA UMEME (TANESCO) LIMEIBUA USIKILIZAJI MPYA WA SPEECH ZA JPM😁

MAGUFULI ANAISHI.

UKWELI MCHUNGU.
 
Kweli Jiwe lilitufumbua macho.
Mfano lilitamka chanjo hazifai,wamepambana watu wachanjwe mpaka chanjo zime expire.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…