Serikali ya Rais Samia Yarejesha rasmi mikopo ya asilimia 10 baada ya Vigezo kuboreshwa.Mtu Binafsi wa Hadi Miaka 30 Atapewa Mkopo

HESLB au
 
Hii mikopo mara nyingi wakopaji hawarudishi marejesho japokuwa haina riba

ipo kisiasa sana
 
Kuna jamaa mwaka jana waliunda kikundi wakapewa huo mkopo baadae wakaja kuzulumiana sijui kivipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…