Honorable GPA
Senior Member
- Mar 31, 2019
- 149
- 223
Serikali ya Tanzania imesema, itawaajiri walimu wa masomo ya sanaa pale idadi ya walimu wa sayansi, hisabati, kilimo, biashara, elimu maalum na mafundi sanifu wa maabara za shule za sekondari itakaporidhisha.
Serikali imetoa majibu hayo leo jumatatu tarehe 8 juni 2020 wakati ikijibu swali la mbunge wa korogwe mjini(CCM) Mary Chatanda aliyeuliza kwa njia ya mtandao wa bunge la Tanzania na kujibiwa kwa mfumo huo.
Aidha, wakati serikali ikiendelea na mchakato wa kujaza nafasi za walimu wa sayansi, wahitimu wa masomo ya sanaa wanahimizwa kutafuta ajira katika taasisi nyingine za umma na shule binafsi.
#mwanahalisi online
Serikali imetoa majibu hayo leo jumatatu tarehe 8 juni 2020 wakati ikijibu swali la mbunge wa korogwe mjini(CCM) Mary Chatanda aliyeuliza kwa njia ya mtandao wa bunge la Tanzania na kujibiwa kwa mfumo huo.
Aidha, wakati serikali ikiendelea na mchakato wa kujaza nafasi za walimu wa sayansi, wahitimu wa masomo ya sanaa wanahimizwa kutafuta ajira katika taasisi nyingine za umma na shule binafsi.
#mwanahalisi online