Serikali ya Tanzania: Hatuajiri walimu wa sanaa

Serikali ya Tanzania: Hatuajiri walimu wa sanaa

Serikali haieleweki kila mara inabadilisha vipaumbele. Watu wengi walienda kusomea ualimu baada ya serikali kutangaza kuwa ni kipaumbele cha serikali lakini sasa wako mtaani na haya ndo majibu yake.
Upepo ulibadilika tangu 2015 lakini mpaka leo kuna mtu anachagua kozi ya ualimu wa sanaa hivi huyo nae mzima kichwani?
 
Namshukuru mungu nimeacha chuo rasmi
Mimi nikushauri, usiache chuo. Maliza na Cheti chako ingia mtaani pambana. Katika mapambano huku mtaani Kuna mahali Cheti kinakubeba mno. Huwezi jua efforts zako zitakufikisha wapi ndugu.
Kuna jamaa nashirikiana nae kusajili microfinance company, Sina uhakika Kama BOT itakubali kutupa licence na sababu Ni kuwa huyo jamaa (ambaye ndiye Managing director) Hana Cheti chochote.
Usidharau Cheti asee.
 
Mimi nikushauri, usiache chuo. Maliza na Cheti chako ingia mtaani pambana. Katika mapambano huku mtaani Kuna mahali Cheti kinakubeba mno. Huwezi jua efforts zako zitakufikisha wapi ndugu.
Kuna jamaa nashirikiana nae kusajili microfinance company, Sina uhakika Kama BOT itakubali kutupa licence na sababu Ni kuwa huyo jamaa (ambaye ndiye Managing director) Hana Cheti chochote.
Usidharau Cheti asee.
Pia Cheti kinasaidia Sana kuogombea tenders
 
Back
Top Bottom