Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Siwajui majina!Watu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwajui majina!Watu gani
Yanini kuongelea kitu ambacho hukijui!.Siwajui majina!
Nani kasema sikijui! Nimesema siwafahamu majina!yanini kuongelea kitu ambacho hukijui!.
Better Yu keep quiet!
Taabu tupu ndugu yanguLoh!sasa rasmi imewabwaga
Ubinafsi utakuuaSoma matangazo ya ajira kama manne utaijua. Hapa itakuwa nishakupa maisha free nikiitaja. Niliwashauri ndugu zangu kadhaa miaka michache imepita sasa washaajiriwa.
Hayo ni yakoubinafsi utakuua
Vyuo navyo visitishe kudahili walimu wa masomo ya sanaa kwa sababu serikali imesema wapo wa kutosha!
Mbona mm kadi ninayo na kaz sinaUkiwa na kadi ya uvccm kazi zipo nyingi tuu hata kama ni mwana-sanaa
Heri yako umeshiba humjui mwenye njaa!Wewe acha porojo zako
Heri yako umeshiba humjui mwenye njaa!
Serikali haieleweki kila mara inabadilisha vipaumbele. Watu wengi walienda kusomea ualimu baada ya serikali kutangaza kuwa ni kipaumbele cha serikali lakini sasa wako mtaani na haya ndo majibu yake.Lazima nchi iangalie priorities sio kujibebea tu ilimradi kuwafurahisha watu.
Kauli yangu mbaya ila ndio ukweli wenyewe, mpaka leo utakuta watu wanakazana kusoma hizo fani utadhani hawana taarifa kwamba serikali imesitisha ajira hizo, huu ni uvivu wa kufikiri
Kuandamana ni haki yake kikatiba!Mimi sijashiba ila huyo anahamasisha maandamano anatakiwa akasaidie polisi