Serikali ya Tanzania imeshindwa kutafsiri dhana ya Burkina Faso?

Serikali ya Tanzania imeshindwa kutafsiri dhana ya Burkina Faso?

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Hususan kwa watendaji, washauri wa Rais na vyombo vyetu vya intelijensia.

Nchi ndogo za magharibi ya Afrika zimeonesha jinsi Afrika inavyohitaji mabadiliko ya namna tunavyoongoza nchi na kusimamia Serikali.

Tanzania ni wakati umefika itazame uhalisia. Ya nchi hizo ndogo ni mfano mzuri sana, na tusidhani hayajafika Afrika Mashariki, yameshafika. Yanasambaa kama moto wa makumbi.

Leo tunashuhudia Kenya hata Polisi na Jeshi hawataki kuhusishwa na siasa na uongozi mbovu.

Tutakopa mpaka lini? Tutaendelea na kila kitu cha uongozi kukifanya siasa mpaka lini?

Tumeshuhudia watu kama Makonda wanaondokana na siasa za kulindana na kuingia kwenye uhalisia wa kumtumikia mwananchi. Naona mawaziri wachache sana wameliona hilo, lakini hawaonekani vilivyo na hawatumii media kuonesha dhahiri shahiri kuwa sasa siyo wakati wa siasa, ni wakati wa vitendo.

Tunataka tuone mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wakiondokana na dhanna ya kujitetea na kutetea ujinga, tunataka tuwaone wakitumikia wananchi muda wote.

Serikali iwachane kabisa na anasa za kijinga za magari ya kifahari kwa kila mkuu wa idara mpaka wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya. Hiyo ni dharau kubwa kwa wananchi wanyonge.

Kuna mengi sana ya kurekebisha na waziri wa fedha leo hii anakuja na bajeti ambayo haitekelezeki kwa jinsi fungu kubwa linavyokwenda kwenye matumiazi ya anasa. Anasa ya kwanza inayojionesha wazi wazi ni kwa Mtanzania wa kawaida, ni wakuu wote, kuaniza wa idara mpaka mawaziri kutembelea magari ya anasa ambayo ni mzigo mkubwa kwa nchi ya kimasikini.

Serikali ijirekebishe, tusifikiri sisi ni kisiwa, sisi ni nchi inayopakana na nchi nyingi Afrika. mabadiliko ya mama anayoyataka kwenye R zake nne yawekwe wazi, siyo kutangaza mabadiliko wakati naamini hata mawaziri hawaelewi ni mabadiliko yepi.

Naamini katika watendaji na idara zote za serikali waliyoelewa dhanna ya R nne ni wachache sana. Ofisi ya Rais inayohusika na habari inatakiwa itowe elimu kubwa kwa serikali na wananchi ili wote tuelewe ni kupi, kupatana, kustahamili, kubadilika na kujenga upya kuliko kusudiwa na falsafa ya R nne za mama Samia.

Ukifatilia habari za Burkina Faso kwa sasa, utaona kuwa wanaziishi R nne za mama Samia bila kuwa nazo.
Sisi tulionazo tunashindwa kuziishi.
 
Hususan kwa watendaji, washuri wa Rais na vyombo vyetu vya intelijensia.

Nchi ndogo za magahribi ya Afrika zimeonesha jinsi Afrika inavyohitaji mabadiliko ya namna tunavyoongoza nchi na kusimamia serikali.

Tanzania ni wakati umefika itazame uhalisia. Ya nchi hizo ndogo ni mfano mzuri sana, na tusidhani hayajafika Afrika Mashariki, yameshafika. Yansambaa kama moto wa makumbi.

Leo tunashuhudia Keya hata Polisi na jeshi hawataki kuhusishwa na siasa na uongozi mbovu.

Tutakopa mpaka lini? Tiutaendelea na kila kitu cha uongozi kukifanya siasa mpaka lini?

Tumeshuhudi watu kama Makonda wanaondokana na siasa za kulindana na kuingia kwenye uhalisia wa kumtumikia mwananchi. Naona mawaziri wachache sana wameliona hilo, lakini hawaonekani vilivyo na hawatumii media kuonesha dhahiri shahiri kuwa sawsa siyo wakati wa siasa, ni wakati wa itendo.

Tunataka tuone mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wwiliya wakiondokana na dhana ya kujitetea na kutetea ujinga, tunataka tuwaone wakitumikia wananchi muda wote.

Serikali iwachane kabisa na anasa za kijinga za magari ya kifahari kwa kila mkuu wa idara mpa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya. Hiyo ni dharau kubwa kwa wananchi wanyonge.

Kuna mengi sana ya kyuerekebisha na waziri wa fedsh leo hii anakuja bajeti ambayo haitekelezi kwa jinsi fungu kubwa linavyokwenda kwenye matumiazi ya anasa. Anasa ya kwanza inayojionesha wazi wazi ni kwa Mtanzania wa kawaida ni wakuu wote, kuaniza wa wa idara mpa mawaziri kutembelea magari ya anasa ambayo ni mzigoi mkubwa nchi ya kimasikini.

Srerikali ijirekebishe, tusifikiri sisi ni kisiwa, sisi ni chi inayopakana na nchi nyingi Afrika. mabadiliko ya mama anayoyataka kwenye R zake nne yawekwe wezi, siyo ktangaz amabadiliko wakti naamini hata mawaziri hawaelewi ni mbadiliko yepi.

Naamini watendaji na idara zote za serikali waliyoelewa dhanna ya R nne ni wachache sana. Ofisi ya Rais inayohusika na habari inatakiwa itowe elimu kubwa kwa serikali na wananchi ili wote tuelewe ni kupi, kupatana, kustamili, kubadilika na kujenga upya kuliko kusuduwa na falsafa ya R nne za mama Samia.
Umasikini wa AFRICA jangwa la Sahara upo KIROHO zaidi.

Cursed

Hata hao Nigeria, Bukinabe n.k bado wana idadi kubwa ya masikini.
 
Serikali ipo kwaajili ya wachache, wengi wanaburuzwa. Wamekosa hata aibu, ubaguzi na ufisadi kila idara. Elimu inatolewa kwa ubaguzi na madaraja, watu wa hali ya chini watoto wao wanapata elimu duni, wanafundishwa kwa kiswahili huku watoto wa wao wakifundishwa kwa kiingereza.

HAYA YANAYOENDELEA NI BORA YA UKOLONI KULIKO HAWA NGOZI NYEUSI ISIYO NA HATA CHEMBE YA AIBU
 
Serikali ipo kwaajili ya wachache.wengi wanaburuzwa.wamekosa hata aibu.ubaguzi na ufisadi kila idara.elimu inatolewa kwa ubaguzi na madaraja.watu wa hali ya chini watoto wao wanapata elimu duni,wanafundishwa kwa kiswahili huku watoto wa wao wakifundishwa kwa kiingereza.HAYA YANAYOENDELEA NI BORA YA UKOLONI KULIKO HAWA NGOZI NYEUSI ISIYO NA HATA CHEMBE YA AIBU
Yote hayo yapo kweli, anayesimamia elimu anafanya nini kuondosha matabaka?

70s ilikuwa ni sifa kubwa mwanafunzi akipata nafasi ya kusoma shule za serikali kuliko shule binafsi. Sasa imekuwa kinyume chake. Why?
 
Kama wataelewa hili watakua wamefanikiwa maana, siasa zimebadilika na umewashauri vyema dunia ya sasa ni ya wananchi waelewa, hivo porojo na blahblah watu wanachoka itafikia hatua hata polisi na majeshi yatawaacha ccm wajipambanie maana hata wao wanaumizwa na ujinga wa wanasiasa wasio wachapakazi
 
Hususan kwa watendaji, washauri wa Rais na vyombo vyetu vya intelijensia.

Nchi ndogo za magahribi ya Afrika zimeonesha jinsi Afrika inavyohitaji mabadiliko ya namna tunavyoongoza nchi na kusimamia serikali.

Tanzania ni wakati umefika itazame uhalisia. Ya nchi hizo ndogo ni mfano mzuri sana, na tusidhani hayajafika Afrika Mashariki, yameshafika. Yanasambaa kama moto wa makumbi.

Leo tunashuhudia Kenya hata Polisi na jeshi hawataki kuhusishwa na siasa na uongozi mbovu.

Tutakopa mpaka lini? Tutaendelea na kila kitu cha uongozi kukifanya siasa mpaka lini?

Tumeshuhudia watu kama Makonda wanaondokana na siasa za kulindana na kuingia kwenye uhalisia wa kumtumikia mwananchi. Naona mawaziri wachache sana wameliona hilo, lakini hawaonekani vilivyo na hawatumii media kuonesha dhahiri shahiri kuwa sasa siyo wakati wa siasa, ni wakati wa vitendo.

Tunataka tuone mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wakiondokana na dhanna ya kujitetea na kutetea ujinga, tunataka tuwaone wakitumikia wananchi muda wote.

Serikali iwachane kabisa na anasa za kijinga za magari ya kifahari kwa kila mkuu wa idara mpaka wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya. Hiyo ni dharau kubwa kwa wananchi wanyonge.

Kuna mengi sana ya kurekebisha na waziri wa fedha leo hii anakuja na bajeti ambayo haitekelezeki kwa jinsi fungu kubwa linavyokwenda kwenye matumiazi ya anasa. Anasa ya kwanza inayojionesha wazi wazi ni kwa Mtanzania wa kawaida, ni wakuu wote, kuaniza wa idara mpaka mawaziri kutembelea magari ya anasa ambayo ni mzigo mkubwa kwa nchi ya kimasikini.

Serikali ijirekebishe, tusifikiri sisi ni kisiwa, sisi ni nchi inayopakana na nchi nyingi Afrika. mabadiliko ya mama anayoyataka kwenye R zake nne yawekwe wazi, siyo kutangaza mabadiliko wakati naamini hata mawaziri hawaelewi ni mabadiliko yepi.

Naamini katika watendaji na idara zote za serikali waliyoelewa dhanna ya R nne ni wachache sana. Ofisi ya Rais inayohusika na habari inatakiwa itowe elimu kubwa kwa serikali na wananchi ili wote tuelewe ni kupi, kupatana, kustahamili, kubadilika na kujenga upya kuliko kusudiwa na falsafa ya R nne za mama Samia.

Ukifatilia habari za Burkina Faso kwa sasa, utaona kuwa wanaziishi R nne za mama Samia bila kuwa nazo.
S isi tulionazo tunashindwa kuziishi.
Kila siku ninasema hapa huu ukweli kuwa waislamu ndiyo wanao tuaribia taifa wanapo kuwa marais...wakishika nchi hadi watoto wao wanakuwa miungu na mabilionea ...mtizame mkapa ..nyerere na magufuli walipo kuwa viongozi uwezi kusikia kashifa yoyote wala kujiinua kwa watoto wao wala ndugu zao wala wake zao ...leo wake za marais waislamu wametaka wamefanya kutungwe sheria ya wao kulipwa mishahara kama marais ...kuna huyo Haramia wa samia anaitwa abdul ni hatari tupu kwa sasa ni zaidi ya mafirauni 1000
 
Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko.

Hunisomi vizuri tu.
Umesha chelewa ....ukweli ukicheleweshwa ni sawa na uongo tu....mambo yamesha haribika sana leo hadi bajeti ya uganda kwa mara ya kwanza imekuwa kubwa kuliko yetu wakati samia anachukua mikopo mingi kuliko marais wote toka tupate uhuru ila bajeti imezidiwa hata na uganda
 
Hususan kwa watendaji, washauri wa Rais na vyombo vyetu vya intelijensia.

Nchi ndogo za magahribi ya Afrika zimeonesha jinsi Afrika inavyohitaji mabadiliko ya namna tunavyoongoza nchi na kusimamia serikali.

Tanzania ni wakati umefika itazame uhalisia. Ya nchi hizo ndogo ni mfano mzuri sana, na tusidhani hayajafika Afrika Mashariki, yameshafika. Yanasambaa kama moto wa makumbi.

Leo tunashuhudia Kenya hata Polisi na jeshi hawataki kuhusishwa na siasa na uongozi mbovu.

Tutakopa mpaka lini? Tutaendelea na kila kitu cha uongozi kukifanya siasa mpaka lini?

Tumeshuhudia watu kama Makonda wanaondokana na siasa za kulindana na kuingia kwenye uhalisia wa kumtumikia mwananchi. Naona mawaziri wachache sana wameliona hilo, lakini hawaonekani vilivyo na hawatumii media kuonesha dhahiri shahiri kuwa sasa siyo wakati wa siasa, ni wakati wa vitendo.

Tunataka tuone mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wakiondokana na dhanna ya kujitetea na kutetea ujinga, tunataka tuwaone wakitumikia wananchi muda wote.

Serikali iwachane kabisa na anasa za kijinga za magari ya kifahari kwa kila mkuu wa idara mpaka wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya. Hiyo ni dharau kubwa kwa wananchi wanyonge.

Kuna mengi sana ya kurekebisha na waziri wa fedha leo hii anakuja na bajeti ambayo haitekelezeki kwa jinsi fungu kubwa linavyokwenda kwenye matumiazi ya anasa. Anasa ya kwanza inayojionesha wazi wazi ni kwa Mtanzania wa kawaida, ni wakuu wote, kuaniza wa idara mpaka mawaziri kutembelea magari ya anasa ambayo ni mzigo mkubwa kwa nchi ya kimasikini.

Serikali ijirekebishe, tusifikiri sisi ni kisiwa, sisi ni nchi inayopakana na nchi nyingi Afrika. mabadiliko ya mama anayoyataka kwenye R zake nne yawekwe wazi, siyo kutangaza mabadiliko wakati naamini hata mawaziri hawaelewi ni mabadiliko yepi.

Naamini katika watendaji na idara zote za serikali waliyoelewa dhanna ya R nne ni wachache sana. Ofisi ya Rais inayohusika na habari inatakiwa itowe elimu kubwa kwa serikali na wananchi ili wote tuelewe ni kupi, kupatana, kustahamili, kubadilika na kujenga upya kuliko kusudiwa na falsafa ya R nne za mama Samia.

Ukifatilia habari za Burkina Faso kwa sasa, utaona kuwa wanaziishi R nne za mama Samia bila kuwa nazo.
S isi tulionazo tunashindwa kuziishi.
Hee hii account imekuwa hacked!? Ni wewe Mzanzibari mwenzangu!?

Hata hivyo nakupongeza na ni dalili kwamba Karibia wote Sasa tutaongea lugha Moja!!

Wala usimung'unye maneno, tatizo la msingi lipo hapo juu Kwa dada yako!!

Yeye akiamua huu ujinga usingekuwepo. Mbona JPM aliweza?

Hongera Kwa kujitambua
 
Back
Top Bottom