Mchawi si mpaka avae tunguli au hirizi. Utamwona tu ana ku wish nini.
Serikali ya Tanzania ina mpango dhabiti wa kuangamiza Wananchi wake kupitia kodi na tozo za kinyama, kinyonyaji na kibaradhuli.
1. Tozo ya Miamala
2. Tozo ya simu ya mshikamano (yaani maskini waendelee kushikamana katika umaskini wao
3. Tozo ya kadi za simu.
4. Kuongezeka kwa kodi ya Mafuta.
Wao hawana shaka sababu Mafuta wanalipiwana Serikali ambayo inachukua kwa kutukamua hizi kodi. Mishahara yao na Kiinua Mgongo wanapata kwa wakati na pasipo kukatwa kodi.
Watashindwa kutumiana pesa,watakosa pesa za chakula,matibabu n.k
Serikali inaangamiza watu wake.