moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Sheria ya ardhi ya Tanzania inatambua ardhi yote ni mali ya serikali.
Serikali ina uwezo wa kuhamisha raia yeyote ili kufanya chochote bila kuulizwa.
Serikali inaweza kufanya hivyo hata kama ardhi uliyonayo umemilikishwa kisheria.
Sheria hiyo haibagui kabila wala dini.
Kwa mujibu wa sheria hiyo, ninaamini wakazi wa Ngorongoro watahama tu.
Serikali ina uwezo wa kuhamisha raia yeyote ili kufanya chochote bila kuulizwa.
Serikali inaweza kufanya hivyo hata kama ardhi uliyonayo umemilikishwa kisheria.
Sheria hiyo haibagui kabila wala dini.
Kwa mujibu wa sheria hiyo, ninaamini wakazi wa Ngorongoro watahama tu.