Imesikika miito ya kuwataka vinara wake kujiuzulu.
Kuna ya uhaba wa umeme na maji. Kuna ya kuwatelekeza wahanga wa ajali na majanga mbalimbali. Kuna ya kuwatwisha wananchi mizigo ya tozo na kodi zisizo wahusu nyie.
Kuna ya kuwalazimisha wananchi kuikopesha serikali. Kuna upigaji Kila kona. Kuna ya kuwauwa watuhumiwa mikononi mwenu. Kuna ya ubambika kesi.
Kuna ya kujipanga kuwafilisi watu. Agiza chochote nje uone utakavyo bambikiwa tozo, kodi na storage charges mbalimbali zenye lengo la kukitaifisha ulichoagiza.
Angalia faulo zao mabarabarani na magari yao.
Angalia ukubwa wa tozo na kodi. Angalia malipo na marupurupu kwao. Angalia msururu wa ma faini kwetu yasiyowahusu wao..
Kwa kujua wafanyayo kwetu si ajabu kuwa hawataki katu kusikia habari ya katiba mpya.
"Kwani mnayo hata haja ya kumtafuta mchawi?"
Pana hata haja ya kumung'unya maneno basi?
"Mna roho mbaya sana wandugu."
Kuna ya uhaba wa umeme na maji. Kuna ya kuwatelekeza wahanga wa ajali na majanga mbalimbali. Kuna ya kuwatwisha wananchi mizigo ya tozo na kodi zisizo wahusu nyie.
Kuna ya kuwalazimisha wananchi kuikopesha serikali. Kuna upigaji Kila kona. Kuna ya kuwauwa watuhumiwa mikononi mwenu. Kuna ya ubambika kesi.
Kuna ya kujipanga kuwafilisi watu. Agiza chochote nje uone utakavyo bambikiwa tozo, kodi na storage charges mbalimbali zenye lengo la kukitaifisha ulichoagiza.
Angalia faulo zao mabarabarani na magari yao.
Angalia ukubwa wa tozo na kodi. Angalia malipo na marupurupu kwao. Angalia msururu wa ma faini kwetu yasiyowahusu wao..
Kwa kujua wafanyayo kwetu si ajabu kuwa hawataki katu kusikia habari ya katiba mpya.
"Kwani mnayo hata haja ya kumtafuta mchawi?"
Pana hata haja ya kumung'unya maneno basi?
"Mna roho mbaya sana wandugu."