Serikali ya Tanzania yaigomea kampuni ya China kubadili design ya flyover ubungo

Serikali ya Tanzania yaigomea kampuni ya China kubadili design ya flyover ubungo

Mada imegeuka from Tanzania na kuwa Kenya. Kenya hoyeeee.
 
Hii design inapendeza zaidi ikijengwa Kenya kuliko Tanzania sababu wao ndio wenye matuta ya mihogo wanayoyaita flyovers

Lakini hapa umesema ukweli. Wachina uko Nairobi wamejenga tuta mingi sana.

They don't look good and take a lot of space.
 
Nimebahatika kuzunguka kidgo nchi za east afrika...mfano twanda,Kenya na Uganda barabara alizojenga mchina hazidumu hata 3 Yr zinakuwa mashimo hasa Tanzania ndo usiseme.....huwa sielewi serikali inashindwa nn kuwapa tenda waliojenga barabara ya iringa wale waholanzi wajenge na mikoa mingine.... Mchina analipua kazi mno hii tender ya flyover ubongo Mara 100 serikali ingewapa wajapani hata kama gharama ni juu kuliko mchina.
Which Kenyan Chinese made road iko na potholes?., wacha uwongo!!, they sign a ten years agreement, barara ikiaribika ama ipate mashimo wanatengeneza kwa hela zao., it's a guarantee for standard road. Pole kwa ujanja wako.
 
Nimebahatika kuzunguka kidgo nchi za east afrika...mfano twanda,Kenya na Uganda barabara alizojenga mchina hazidumu hata 3 Yr zinakuwa mashimo hasa Tanzania ndo usiseme.....huwa sielewi serikali inashindwa nn kuwapa tenda waliojenga barabara ya iringa wale waholanzi wajenge na mikoa mingine.... Mchina analipua kazi mno hii tender ya flyover ubongo Mara 100 serikali ingewapa wajapani hata kama gharama ni juu kuliko mchina.

Tatizo mnatoa pesa mbuzi
 
Hii ya unafuu naona sio plan ya mchina kuna makanjanja wako nyuma ya hili wazo ili wapige dili
Mchina nae ni mwizi balaa kwa hiyo anatumika hapo.
Hawawezi kuwapa waholanzi au wajerumani kwa sababu wanajua hawatapata mgao wao
 
Yaanh sometimes huwa hvyo lakini why aseme ni gharama nafuu wakati government imetoa hela ya kutosha iliyopendekezwa kwa design ya kwanza...Hii ya ubongo design yake aliyoleta ili ajenge ni mbovu...lazima government ikatae ujinga huo na kama kujenga kashidwa amwachie mjapani au mkorea even hata mzungu kuliko kutaka kujenga tuta na daraja then aite flyover.
Mzungu sikuhizi labda umpe kazi ya kukutengezea software tu,hizi kazi za Ujenzi hawawezi,washasahau,labda mrusi baada ya like daraja la Crimea,imenekana na yeye kumbe so wa mchezomchezo
 
Duh,hii Kali yaani FUNDI anabuni ramani ya ujenzi anayopenda yeye alafu anampa mwenye nyumba aridhie!
Hawa mpaka hapo wameshindwa kazi.
 
Duh,hii Kali yaani FUNDI anabuni ramani ya ujenzi anayopenda yeye alafu anampa mwenye nyumba aridhie!
Hawa mpaka hapo wameshindwa kazi.
 
Back
Top Bottom