Serikali ya Tanzania yaridhia utoaji mimba

sithani kama utoaji wa mimba kihalali utapunguza watoto wa mitaani,kuna nchi nyingi tu waruhusu kutoa mimba lakini bado kuna watoto wa mitaani wengi tu .nikupatie mfano Marekani kuna watoto wengi tu wa mitaani lakini wale watoto wanatunzwa kwenye mashiriaka ya dini,kwa hivyo hawaonekani mtaani,hata hivyo bado kuna mitaa ambayo ukienda bado watoto wa mitaani wapo .Angalia Afrika kusini wameruhusu lakini bado watoto wa mitaani wanazidi kuongezeka,bado kuruhusu kutoa mimba hakutaondoa tatizo la watoto wa mitaani ,NAOMBA NIKUPE KAZI MOJA YA KUFANYA UCHUNGUZI KWAMBA WATOTO WA MITAANI WANATOKA WAPI?Kwamfano niliwahi kuwauliza wato fulani mtaani huku bongo ,lakini wengi wao walisema walikua kwenye famillia lakini mmoja alisema baada ya baba yake kufukuzwa kazi hela ya kwenda shuleni illikosekana na akaacha kwenda shule hadi akamua kuanza kuzurura mtaani .wengine walisema baada ya baba na mama kugombana na kkuachana nipo walipoaanza kuzurura mtaa,,wngine walisema babazao walikufa na vitu kama hivyo ,NAWE JARIBU KUTAFUTA MUDA UFANYE UTFITI KIDOGO HALAFU UANGALIE,Maisha yanakua magumu ndio mana unaona watoto wanaongezeka mtaani,kuruhusu kutoa mimba sio jawabu la kupunguza watoto wa mitaani ,PILI KUTOA MIMBA NI KUFANYA MAUAJI KUBALI USIKUBALI UKWELI UNABAKIA PALEPALE ,Ni sawa tu nakusema mtu huyu simtaki kwahivyo unaamua kumuua ,kuna maendeleo lakini sio kuruhusu kutoa mimba ,NASEMA TENA KUTOA MIMBA NI KUFANYA MAUAJI ,UNAMNYIMA MTOTO HAKI YAKE YA KUZALIWA NA KULISHI KAMA WEWE ,TUSIZUNGUMZE TU TUANGALIE UKWELI UKO WAPI?
 
Kama kweli tunafuta mifumo ya demokrasi ya kweli basi na mtu ana uhuru kwa kufanya mambo yake kwa huru. Leo katika Kampus nyingi za vyuo America wana ruhusu kutoa mimba na pia kama tunakubali yalio yao basi na haya inatupaswa kufanya hivyo. Tunaweza kufanya utoaji mimba ukawa legalize kwa wakati pale mjamzito anakuwa na matatizo lakini kuua watoto kinyume na sheria za Mungu na Neno Lake na siyo vingine, Lakini kama mtu anaona kuwa ana uhuru wa kutoa mimba apewe elimu hiyo itapunguza sana watu kupata matatizo kama haya bwana
 

It is OK IF and only IF it is done for the medical reason(s). Kwamba maisha ya mama yanahatarishwa na uwepo wa hiyo mimba. Lakini siyo jitu limefanya ngono halafu linaogopa kunyonyesha likatoe mimba...Nooooooooooo... Au mmekwaruzana unaamua/mnaamua mkatoe..........Noooooooo.
 
Nyie mnaopinga abortion sasa sisi tuliooa na hatuna huwezo wa kuwatunza watoto wote ambao tunauwezo wa kuwazaa, Kumbuka mayai kwa wastani yanafika mpaka 400 yaani mama anaweza kupata hedhi mara 400. watoto mpaka 20. Condoms na mipango mingine ya uzazi dini wanakataza tufanyeje?tusishiriki tendo la ndoa?. Au tuzae tu hata tusipowatunza?
kama mimba yangu ingetolewa ningekwepo? je hii ni hoja kweli kwa sasa?je nisingekwepo Tanzania isingekwepo?.Ni mpaka baada ya wk 24 ndipo mtoto anaanza kuwa na viungo. kabla ya hapo ni Damu tu hata siyo mtoto.kwaiyo msiseme mtu anaua.
 

Uhai wa mtu siyo umri. Hata dakika ya kwanza baada ya mimba kutunga ni mtu huyo..!!! Hizo zote ni stage tu........ Zaigoti (mimba), mtoto mchanga, kijana, mtu wa makamo, mzee......... zote hizo ni stage za mtu. Ukimuuwa akiwa kwenye hatua yoyote ile katika hizo, wewe ni muuwaji tu.
 
Tumekubali kununuliwa kwa kila kitu sasa mambo kama haya wakati yanakuja Tanzania lazima tujuhoji, Lakini Dini ndio zenye maamuzi ya kufanya hata ndio zenye wajibu kwa kukemia na kuhubiri makanisani na kuona mambo haya hayaendelei hata siku moja, Kama Dini zikinyamaza basi wao watafanya watakavyo. Tunapokea Misaada toka kwa kwa hiyo hata masuala ya ajabu watatupelekea kufanya hivyo
 

tunaweza tuka ambiwa na ndoa za jinsia moja ruksa, hakuna cha bure dunia hii, kutegemea vya watu kunasabisha utumwa
 


Hoja zake zina uzito lakini mwisho wa yote uamuzi anafanya mtu mwenyewe. Binafsi ningependa mtu awe huru kuamua. Lakini maamuzi ya hatari kama haya yasiruhusiwe kabisa. Hebu soma hizi data toka Kagera na Temeke

Report kamili ya utafiti huo iko hapo, anayependa aisome!
 

Attachments

Napinga utoaji mimba. Kama mwanafunzi amepata ujauzito aruhusiwe kuingia darasani na akijifungua apewe muda wa kulea mtoto wake for a year halafu arudishwe shuleni kuendelea. Yaani kama alikuwa la sita basi arudie darasa aliloachia kabla hajajifungua. Kuua no no no no no with all my vains.
 

Seriously, you sound like Rush Limbaugh.
 
Next: gay and lesb marriage.... is coming wait.
 
Seriously, you sound like Rush Limbaugh.

I like Rush. He doesn't mince his words and doesn't care about what people say or think of him. Abortion is wrong in every kind of way. Do you support it?
 
I like Rush. He doesn't mince his words and doesn't care about what people say or think of him. Abortion is wrong in every kind of way. Do you support it?

I don't support abortion, but also I don't want to be a hypocrite. Many Tanzanians enjoy unprotected sex which is the major cause of unwanted pregnancy and sexual transmitted diseases. Hivyo kama nitapinga abortion ni lazima nikubali aina fulani ya sex education ambayo itahimiza watu ku-practise safe sex. Cha ajabu ni kuwa wengi wanaopinga abortion ndio haohao wanaopinga sex education.
 

Sex education ni muhimu na mimi ninaiunga mkono. Ni vyema kuwaonya watu kuwa wasipokuwa waangalifu watakamata magonjwa ya zinaa na kuoza huko chini. Sasa nani anataka kuoza na kuanza kutoa usaha huko chini? Hakika sio mimi na nadhani si wewe pia. Au nimekosea?
 
I like Rush. He doesn't mince his words and doesn't care about what people say or think of him. Abortion is wrong in every kind of way. Do you support it?

I do. I support the right of a woman to choose. It is better and more humane than dumping babies in the garbage dump!

Amandla......
 
I do. I support the right of a woman to choose. It is better and more humane than dumping babies in the garbage dump!

Amandla......

You are wrong and you are going to hell for this one (jk). Fundi, abortion and dumping babies in dumpsters are both wrong. You can't make a moral equivalency and say one of them is more humane than the other.

The only humane thing to do is to birth the child and give it up for adoption. Killing it before it comes out of the womb is wrong and dumping it and leaving it to die after birth is also wrong. Giving up babies for adoption is not the best thing but it is highly encouraged over abortion and dumping.

No human being with a heart would do that to a defenseless human being, born or unborn. And if you had a soul you wouldn't support abortion. How can you say you support ending the life of another human being? How could you? You have no heart. Shame on you.

NB: No human being should choose to end the life of another human being. The only sensible and humane choice is to choose life not death.
 

Kuna watu wengi ambao kwa sababu za imani ya kidini wanapinga vyote. Wanapinga sex education na wanapinga watu kufanya abortion.

Nilipokuwa boarding school kwa bahati mbaya umri ulikuwa mdogo, lakini vijana wengi walikuwa wanawashawishi girl friends zao kutoa mimba. Au wasichana wenyewe walihamua kutoa mimba. Na kulikuwa na instance ya msichana nilikuwa nakaa naye kwenye dawati kufariki kwa kutoa mimba.

Sheria za sasa za shule zilivyo kali, utoaji wa mimba ni horrifying experience. Lakini haya yangeepukwa kama sex education ingetiliwa mkazo.
 
Bora kufanya legal kwa sababu hata wakikataza wataendelea tuu kwa njia za uchochoroni,hayo mambo waachiwe wanawake na madaktari wao na wapenzi wao ndio waamue lakini kuweka sheria kukataza naona ni kupoteza muda tuu na msilete sababu za dini humu maana sio kila mtu anaamini mungu na sheria zetu hazijawekwa kufuata dini yeyote,kama wewe hutaki abortionmkwa ajiri ya dini yako then fine lakini usilazimishe wengine kutokana na dini yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…