Mambo mengine ya ajabu sana.
Diaspora wakipata tatizo afisi za balozi nyingu huwa hazitoi ushirikiano.
Diaspora wengi tu wamefanikiwa kupiga hatua na walienda huko muda ila wameshidwa kuwapa fursa y uraia pacha.
Wanasubiri diaspora mmoja akivuruga mambo ndio waingilie hapo kuwa diaspora ni wabaya.
Diaspora wakipata tatizo afisi za balozi nyingu huwa hazitoi ushirikiano.
Diaspora wengi tu wamefanikiwa kupiga hatua na walienda huko muda ila wameshidwa kuwapa fursa y uraia pacha.
Wanasubiri diaspora mmoja akivuruga mambo ndio waingilie hapo kuwa diaspora ni wabaya.