Serikali ya Tanzania yasema Nemes Tarimo alihukumiwa miaka 7 jela, akafariki akiwa vitani

Serikali ya Tanzania yasema Nemes Tarimo alihukumiwa miaka 7 jela, akafariki akiwa vitani

ifike kipindi Watanzania tuone kuwa Urusi haina maana kwetu, kwanza haitusaidii na kitendo cha kutaka wafungwa waende vitani ni cha kikatili sana. uhai wa Mtanzania mmoja unatakiwa kuthaminiwa na serikali ionyeshe msimao katika hili.
[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-586063353.jpg


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kua mercenary (professional fighters) wanapigana kwa kulipwa
Na kua mpiganaji wa kulazimishwa kupambania
Ushawishi wa pesa unanguvu kuliko kushikiwa mtutu wa bunduki, kama alienda kupigana kwa kulazimishwa usingesikia jambo la pesa.
 
Je nikiingia kupambna baaada ya miezi mitatu mpunga umesoma 50 m je nikitoroka au kusaliti kambi ya warusi nijiunge ukraeni kutakuwa na shida Ni Bora nijisalimishe ukrain

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuna maaskari maalum kazi yao ni kuzuia usikimbie, wao hawapigani wako kuhakikisha unapigana wewe. Na ukiwa vitani hela unatunza wapi, kuondoka frontline mpaka kufika benki ukachukue hela tiyari warranty ishatoka ukamatwe. Na mipaka sasa hivi imekazwa ulinzi. Chance ya kutoroka ipo kidogo, ila kutoroka na hela haipo kabisa
 
Napenda kila siku kujifunza, napenda kila siku kujua mambo wengine haway fikirii wala kuyawaza.

Hizi ni tetesi kutoka katika vyanzo nyeti vya kimataifa kuhusiana na vita ya Ukraine na kule Dunia ya kijasusi inaelekeza hii vita.

Kwa mara ya kwanza serikali imetangaza kuwa Wagner nikikundi chao cha kigaidi.

Iteendelea sorry...
 
Napenda kila siku kujifunza napenda kila siku kujuwa mambo wengine hawaya fikirii wala kuyawaza.
Hizi ni tetesi kutoka ktk vyanzo nyeti vya kimataifa kuhusiana na vita ya Ukraine na mahali
Iteendelea sorry
Maiti inaletwa Tanzania, waziri wa mambo ya nje kathibitisha. Kwanini unaita tetesi taarifa ambayo imesha thibitishwa?
 
Kilicho nyuma ya Pazia dogo alienda kusoma Urusi, baadae akaingia tamaa ya maisha akajiingiza kwenye biashara ya uuzaji na usafirishaji wa dawa za kulevya..

Akakamtwa akafungwa, PMC wakaibuka gerezani kwake wakamwambia dogo chagua moja uozee jela ama ukapigane Ukraine halafu uwe huru baada ya miezi sita,dogo akasaini kupigana.

Kilichotokea ni ajali kazini.
 
Dogo nemes kashapelekwa kwao muda kuzikwa.
Dogo alikua vidole viwli juu yule.
Nadhani issue yake kua ndani sio ngada, ila ni too much activist mind. Kwa mazingira ya kwake niliyoona leo ngada hapana.
 
Vijana wanashida sana,mtu kaamua mwenyewe watu midomo inawasha
Ifike mahali watu waweze kujua kutofautisha kati ya mambo ya kibinafsi na mambo ya kinchi.

Yaani mimi mfano niende Russia nikajiunge na Wagner.. that is my problem. Na ukienda huko wakikuua that is not the problem of Tanzania as a country.

Naona watu wanafungua uzi kulaumu serikali.. ni mjinga tu ataweza kulaumu serikali kwa maamuzi binafsi ya mtu binafsi
 
Ifike mahali watu waweze kujua kutofautisha kati ya mambo ya kibinafsi na mambo ya kinchi.

Yaani mimi mfano niende Russia nikajiunge na Wagner.. that is my problem. Na ukienda huko wakikuua that is not the problem of Tanzania as a country.

Naona watu wanafungua uzi kulaumu serikali.. ni mjinga tu ataweza kulaumu serikali kwa maamuzi binafsi ya mtu binafsi
Hujuwi kilicho nyuma ya pazia Bora ukae kimya tetesi ni nyingi kuliko unayo yasikia. Why tetesi? Ask deep state
 
Back
Top Bottom