Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Kiongozi unatumia fikra gani kuandika hoja zako. Unaonekana una hoja nzuri ila unavyoandika kishabiki unaharibu sana. Kosoa au pongeza kwa hoja inayoeleweka. Sasa unaandika tu ukichalenjiwa unakasirika. Huitendei haki Jamii forum.
Sasa mkuu,ni vizuri ukajua hapa duniani watu tumetofautiana sana.

Mimi ubishani wangu kwenye mijadala ni tofauti na wewe na yule

Obviously sikufurahishi ninavyoongea humu, which is okay,na sio lazima nifurahishe yeyote.

Ushabiki umesemea wewe.

Sema hivi nimetoa maoni kinyume na ulivyotarajia wewe which is not my fault,it is your faulty because you own your expectations.

Kwani kukasirika ni tatizo?
 
Rais wako kakurupuka kwenye hili, angeweza kuonyesha busara kwa kuomba mazungumzo.. utadhania alikua anasubiria Kenya wachemke awafundishe ujeuri! Sijui nani kamshauri kufanya hivi, yaani anasahau Kama ni yeye ndie alitoa tausi! Lol
Maxungumzo kwenye Corona?
 
Huwa nawaambia muache kujidangaya umuhimu wa Tanzania kwa Kenya. Route yenye pesa mingi kwa KQ in eac ni NBI-Mombasa, na NBI-entebbe. Hiyo ya dar imekuwa pocket change. Uganda ikifunga hapo ndiyo Kenya itauumia na GOK inajua hivyo ndiyo kwa sababu huwa haiogopi kuwekea Tanzania vikwazo kila wakati kutoka 1960's.
We acha uongo Dar to NBO ni moja ya route kubwa kwa KQ baada ya JNB na EBB.

In short hii lazima iwakule tu.

Screenshot_20200801-000535.jpg
 
Kuna ethiopia airlines usijione ww ndo ki la kitu auu unazan KQ pekee ndo inatua tz
Mkuu

Naona unaenda kusiko....hatuzungumziii KQ hapa..KQ is a dead meat.

Nazungumzia tumenyimwa access ya JKIA which is an international hub EA yote not even close!

Tatizo ni uwanja wa JKIA na sio ndege za KQ zilizokwisha kufa tayari.

Ndege zinazotua JKIA volume yake EA yote hadi Ethiopia combined ni nonsense..na mizigo yetu yooote inapita JKIA ndio inakuja DAR.

Elewa hilo na sio vindege wewe
 
Brother wewe ndio insane sana yaani!

KQ ni ndege,na JKIA ni kitu kingine.....KQ ni nearly dead....forget about it..

Nazungumzia JKIA ndio hub ya EA na ndio ndege zote duniani zinatua pale then ndio J'burg

Wewe umepeleka matako kuzungumzia KQ which shows how stupid you are.

Tumenyimwa access ya JKIA,thats the issue wewe kiazi
Kama nairobi ndo regional hub Addis Ababa itakuaje?
 
Jana Kenye ilitoa orodha ya nchi 11 Tanzania ikiwemo orodha mpya imetoka
leo.

Hatua ilochukua Tanzania imetokana na ukigeugeu wa Kenya.
Hebu weka hiyo orodha ya Jana tanzania ikiwa haimo
 
Naona hauna habari ama ni kutoweza kusoma
i) August 2019 KQ revenues shot up 41% to kes 114 billion,
ii) 29 May 2020 revenues shot up 12% to kes 128 billion driven by cargo.

This means while it makes losses, revenues are growing every year.

Kenya Airways revenue jumps 12% | News | TAL Aviation
Kenya Airways revenues up 41% to KShs114 bln, boosted by growth in passenger revenue, cargo and ancillary services - AfricanFinancials

Nani aliyekwambia revenue ni profit.? Mapato kuongezeka haimaanishi umepata faida. Pitia tena source zako.
 
Ni pigo kwa KQ lakini ni pigo kubwa zaidi kwa Watanzania waliokuwa wanatumia Shirika hilo kwenda Ulaya, China na nchi nyingine za Mashariki ya Mbali maana mabawa ya madege ya ATCL yamenyonyoka hayawezi kuruka. Wasafiri toka Mikoa ya Kaskazini hawana shida wataendelea kusafiri kwa KQ kuanzia Nairobi Kama walivyozoea kwa kutumia Shattles za kila saa zikisafirisha watalii. Ngoja nikanunue viberiti toka Kenya vya kutosha maana haijulikani lini vitaingia Tena nchini kwani kiwanda cha Kibo Matches kilikufa miaka mingi. Bidhaa toka China ndo kwa heri labda wafanya biashara wetu waliokuwa wanaleta kwa KQ watumie nyungo.
Kuna matanzania hayajawahi kufika hata Zanzibar hapo ndio yanashabikia huu upuuzi
 
HAHAHAHA, Kelele za chura hiyo. Uganda ama Rwanda zikifunga Kenya inaweza kuumia lakini si Tanzania. KQ na mtoto wake jambo jet zinaenda entebbe na kigali kushinda dar na hizo vitu zingine umetaja.
Kenya Airways ilikua inakuja Dar mara 5 kwa siku saa 2 asubuhi, saa 4 asubuhi, saa tisa mchana saa mbili usiku na saa saba usiku hapo sijazungumzia KIA wala Zanzibar
 
Back
Top Bottom