Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Kiongozi unatumia fikra gani kuandika hoja zako. Unaonekana una hoja nzuri ila unavyoandika kishabiki unaharibu sana. Kosoa au pongeza kwa hoja inayoeleweka. Sasa unaandika tu ukichalenjiwa unakasirika. Huitendei haki Jamii forum.
Sasa mkuu,ni vizuri ukajua hapa duniani watu tumetofautiana sana.

Mimi ubishani wangu kwenye mijadala ni tofauti na wewe na yule

Obviously sikufurahishi ninavyoongea humu, which is okay,na sio lazima nifurahishe yeyote.

Ushabiki umesemea wewe.

Sema hivi nimetoa maoni kinyume na ulivyotarajia wewe which is not my fault,it is your faulty because you own your expectations.

Kwani kukasirika ni tatizo?
 
Rais wako kakurupuka kwenye hili, angeweza kuonyesha busara kwa kuomba mazungumzo.. utadhania alikua anasubiria Kenya wachemke awafundishe ujeuri! Sijui nani kamshauri kufanya hivi, yaani anasahau Kama ni yeye ndie alitoa tausi! Lol
Maxungumzo kwenye Corona?
 
We acha uongo Dar to NBO ni moja ya route kubwa kwa KQ baada ya JNB na EBB.

In short hii lazima iwakule tu.

 
Kuna ethiopia airlines usijione ww ndo ki la kitu auu unazan KQ pekee ndo inatua tz
Mkuu

Naona unaenda kusiko....hatuzungumziii KQ hapa..KQ is a dead meat.

Nazungumzia tumenyimwa access ya JKIA which is an international hub EA yote not even close!

Tatizo ni uwanja wa JKIA na sio ndege za KQ zilizokwisha kufa tayari.

Ndege zinazotua JKIA volume yake EA yote hadi Ethiopia combined ni nonsense..na mizigo yetu yooote inapita JKIA ndio inakuja DAR.

Elewa hilo na sio vindege wewe
 
Kama nairobi ndo regional hub Addis Ababa itakuaje?
 
Jana Kenye ilitoa orodha ya nchi 11 Tanzania ikiwemo orodha mpya imetoka
leo.

Hatua ilochukua Tanzania imetokana na ukigeugeu wa Kenya.
Hebu weka hiyo orodha ya Jana tanzania ikiwa haimo
 

Nani aliyekwambia revenue ni profit.? Mapato kuongezeka haimaanishi umepata faida. Pitia tena source zako.
 
Kuna matanzania hayajawahi kufika hata Zanzibar hapo ndio yanashabikia huu upuuzi
 
HAHAHAHA, Kelele za chura hiyo. Uganda ama Rwanda zikifunga Kenya inaweza kuumia lakini si Tanzania. KQ na mtoto wake jambo jet zinaenda entebbe na kigali kushinda dar na hizo vitu zingine umetaja.
Kenya Airways ilikua inakuja Dar mara 5 kwa siku saa 2 asubuhi, saa 4 asubuhi, saa tisa mchana saa mbili usiku na saa saba usiku hapo sijazungumzia KIA wala Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…