Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

China ipo kwenye list ya nchi zilizoruhusiwa kuingia Kenya , kimezingatiwa kitu gani?
 
Mmeshikwa magudmoon mbaaav zenu kama hamuumii mbona mlikua mnazileta
HAHAHAHA, Kelele za chura hiyo. Uganda ama Rwanda zikifunga Kenya inaweza kuumia lakini si Tanzania. KQ na mtoto wake jambo jet zinaenda entebbe na kigali kushinda dar na hizo vitu zingine umetaja.
 
Waswahili waliwahi kusema mwanzo wa ngoma ni lele! Hizi si dalili nzuri kwa mustakabali wa jumuiya yetu. Itabidi kifanyike kitu kuokoa jahazi, huku kutunishiana misuli sidhani kama kutakua na suluhisho la kudumu!

Najiuliza kwanini wasingeenda Kenya au kumtumia balozi wetu kutatua kidiplomasia kuliko kujimwambafy?
 
Wewe ni bonge la kondoo simply lofa kabisa, kuzika ndio mavi gani vileee, uhusiano usiozingatia maslahi ya Taifa letu na yafe hata sasa shenzi kabisa na akili kama za mende
 
Unaonekana umeumia sana we subiri mpaka mfe njaa ndio mtajua kua sie sio wapuuzi wa kiwango hicho, tunajua mnatumika kutuhujumu maana mmeshakula pesa ya msaada sasa mnatimiza masharti tutamalizana na umbwa yeyote anaegusa maslahi ya Taifa letu
Mbona KQ pekee, si mungefungia hata Jambo jet ambayo ni mtoto 100% wa KQ, pia precision air ambayo ni 50% mtoto wa KQ? Yani hapo hakuna kazi imefanyika ni vitisho tu. Hata mufungie KQ na jambo jet bado KQ itapata pesa kupitia precision air.
 
Akikupiga ngumi ya Sikio halafu anakuuliza Umeskiaje, Wewe Mpige ya Jicho tu halafu muulize ameonaje.
View attachment 1523067
Saaafi. Wabakie na corona yao. Lkn katazo lingesema kabisa kuwa hakuna raia wa kenya kuruhusiwa kuingia Tanzania, maana wao wamesema nationals wa Tanzania hawatakiwi kutua Kenya. Au walisahau?
 
Kumbuka mlicho tufanyia 1977 kuhusu
EAC na 1978 kuhusu Id Amin Dada.

Wakenya mlitumiwa kuhujumu uchumi wetu na mnaendelea kutumiwa kuhujumu uchumi wetu.

Nyie hamna undungu na sisi na sisi hatutaki undugu na nyie. Wakikuyu akilibzenu ziko matakoni.

Mswahili kama wewe wakenya unajifanya mbritish? Fine! Endelea. Sisi tutabaki Africans.
 
Kama iko Coronna unaweza kuondoka ukaishi kisumu until further notice, mbona wewe hujafa na coronna kama ipo uumbwa tu kama hizi mbanga nyingine
 
Kama uko fair utakumbuka ni kiasi gani Magu kawatetea wakenya tangu ishu ya corona ianze. Mara ngapi kabatilisha amri za wakuu wa mikoa inayopakana na Kenya kwa mfano akisisitiza mahusiano mema? Tuache unafiki. Uamuzi wa Kenya kuzuia ndege zetu ni wa kitoto na kijinga sana.
 
Sikuwahi dhani serikali ya Kenya ya kipuuzi kiasi hiki.
 
hongera sana mzee kenyatta! wazeee wa korona hoiii![emoji23] waendelee kujifukiziaa tu ndani ya atcl...full maombezi humoo..koronaa kiboko ya mswahili..[emoji23]
Ukiwa na rais mvuta bange raia wake ni zaidi. Life goes on
 
[emoji23][emoji23]sijaona other nations zikireact hivi apart from tz, the bitterwoman
Kila mtu ashinde mechi zake. Ulitaka Tanzania tufanyeje? Kwanza bado, hizo ni ndege tu ili watu wa kuja Tanzania watumie mashirika mengine kufika Tanzania. Tunasubiri kuona wakenya wakizuiwa kuingia nchini kama mlivyofanya
 
Inaitwa Knee-jerk reaction, zero thoughts into it
Kwako 0 kwetu 100. Kenya airways ni moja ya mashirika yanayotumia airspace ya Tanzania kwa wingi. Hivyo hiyo ina maana watumiaji wote wa KQ watatumia mashirika mengine.

Maumivu yakizudi, meza panadol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…