t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
China ipo kwenye list ya nchi zilizoruhusiwa kuingia Kenya , kimezingatiwa kitu gani?Kupenda masomo ni mzuri sana. Rwanda, Uganda na ethiopia wako kwa list ya kuingia kenya kupitia anga. kwa eac ni Tanzania na burundi ndiyo wamekatazwa.North america ni Canada na wamarekani kutoka california .
Tafadhali soma kabla ya kuandika usizozijua.