conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,129
- 790
Rejea china na marekani hawa naona hawakomoani mkuu au?Huo Ni upumbavu Hakuna justification yoyote kwanini tanzania imestopisha KQ kuja bongo.
Tunaona Ulaya nchi inaipiga ban nchi nyingine ila hatuoni huu upuuzi wa kukomoana. Huu ujinga uko Bongo tu.
Na kwasababu nchi imejaa viongozi wa hovyo raia mizigo mnaishia kukenua.
UnaShaurije?ungependa tuendelee kuibembeleza kenya kwa kuwa ndio msingi wa biashara afrika mashariki?je km kawaida ni nairobi ndo hub je hiyo kawaida haiwezi kubadilika?je uganda na rwanda hawawezi kupata iyo faida ya kuleta mizigo bongo badala ya kenya?Ndio maana nakwambia,y'all need to go to the drawing board,uamuzi mliochukua ni uamuzi rahisi sana hata kichaa wa mirembe angeuchukua..
Mzee,huwezi nielekeza cha kuongea humu wala mimi siwezi kuelekeza chochote humu!
Kenya imefungia nchi zaidi ya 250,TZ ni one of them..shida mmepaniki na kuchukulia personal,too bad Nairobi ni regional hub EA hapa, mizigo yote itakwamia hapo,na abiria wote hawawezi enda long route ya Cape Town eti ndio waje TZ.
Jawabu sio rahisi kiivyo kama mlivyotoa, is that economically at your best interest au mmeenda kula pilipili kichaa za Chattle huko?
This is chess and not checkers.
Uganda sio hubUna
UnaShaurije?ungependa tuendelee kuibembeleza kenya kwa kuwa ndio msingi wa biashara afrika mashariki?je km kawaida ni nairobi ndo hub je hiyo kawaida haiwezi kubadilika?je uganda na rwanda hawawezi kupata iyo faida ya kuleta mizigo bongo badala ya kenya?
Kinuke tu hata Vita ya Kirafiki ili mmoja amuheshimu mwenzieKuna siku kitanuka tu tusipokuwa makini, kuna kindege au helicopter kitapata hitillafu iwe kama WW1 na Sarajevo assassination.
Hizi nchi za Kenya na Tz ni kama China na USA kwa sasa
Sijazungumzia wachina acha kuwaza Kwa kutumia tope la matak, Mimi nimetaja nchi China na sio wananchi (wachina) . ukisema sababu ya kufungiwa Tz na Kenya ni takwimu za Corona Tz haitou, vipi kuhusu china iliochaguliwa na Kenya tena ya kwanza je inakuaje kama kigezo cha kuzuia ni takwimu za Corona? Ndio swali langu
Kule Kenya imefanya ufalaHapa Tanzania imefanya utoto.
Je unadhani wakenya wanatupenda kiasi hicho?je kenya kuhusu covid utaratibu wake unadhani umeleta faida kuliko hasara?unadhani tanzania kutokutoa taarifa ya kolona imewasaidia kenya chochote?kiuchumi na tanzania imepataUganda sio hub
Rwanda sio hub
Burundi sio hub
Acha kuchanganya mambo wewe?
Uganda,Rwanda,Burundi na upumbavu mwingine ni viwanja vya ndege vya hovyo kama ilivyo DIA au KIA
Cape Town ni hub,J'burg ni hub
Lagos ni hub
Cairo ni hub
Nairobi ni hub
Addis Ababa ni semi hub
Usije kulogwa ukadhani kiwanja chochote tu ni hub..stop that nonsense!
Sishauri chochote,maana hakuna mtu ananilipa for my services!
Kuna majitu tumeyaajiri maofisini huko yafanye hiyo kazi,unfortunately they dont do their job yanaishia kufanya madudu kama hilo tangazo la kipumbavu walilotoa ambalo halina solution yeyote!
Na hapa kama itakua ni Kenya pekee yake sio tatizo sana,shida ni kama other countries zitafuata suit!Be worried niggas!
Hoja ya Kenya ni valid,hoja yao ya Covid-19 kuhusu sisi ni valid na hatuna majibu nayo with evidences!
Thats make us even sillier and and stupid!
Hizo professionals zenu mnazifanyia wapi?Hivi unajua watanzania wengi wako Kenya? Tofauti ni moja, Mukifukuza wakenya mutakuwa munafukuza professionals na wanabiashara wanao nunua hizo vitungu na nyanya zenyu(Watu wanaojenga uchumi na walio na umuhimu kwa nchi). Kenya ikifukuza watanzania itafukuza makahaba, omba omba wa barabarani, na watu wa kubeba mizigo hapo gikomba (Kazi zisizo muhimu kwa Taifa).
Covid-19 effect on EAC. Tz has been hit where it hurts.
Marekani anapiga sanctions china ila anafia wakulima wake. Sisi TANZANIA wakulima wanaozewa na bidhaa zao kwenye maghalaRejea china na marekani hawa naona hawakomoani mkuu au?
We kama rubani ilete tuirudishie angani, usishau kuweka mafuta ya kutosha.... nullification ni KQ originating from Nairobi to Dar/Kilimanjaro/Zanzibar. So, ikianzia Mombasa, Kisumu, Eldoret (all international airports) or elsewhere apart from Nairobi naona itaruhusiwa. Sijui kwani wasomi wetu hawako makini na vitu vidogo lakini vya msingi kama hivi!
Uamuzi wa "busara". Watatuletea Covid-19 ambayo sisi "hatuna".Kenya Kuna COVID-19, Kitendo cha Serikali kuzuia KQ kutua Tanzania Tukipongeze, Wale tukiruhusu kuleta ndege Watatuletea Corona Tu
we MSHABIKI, mbona Serikali ya Kenya inataka mazungumzo? Kwani hawajui Uganda na Rwanda zipo? HUYU VIPI?HAHAHAHA, Kelele za chura hiyo. Uganda ama Rwanda zikifunga Kenya inaweza kuumia lakini si Tanzania. KQ na mtoto wake Jambo Jet zinaenda Entebbe na Kigali kushinda Dar na hizo vitu zingine umetaja
Kwan KQ kwenda KE walikua wanapanda wa TZ tu ?Kwani KQ kuja TZ walikuwa wanapanda wa Kenya tu ?
Hudhani kuwa kuna wa Tanzania Kibao wata loose katika hilo ?
Au unadhan KQ kuja Bongo hakuna Faida kwa TZ ?
Mboga na ugali vyote vimemwagwa tuone sasa nani mjanja.