Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Hii ndio namna ya ku-deal na hawa watu, wanajiona wana akili sana.
Mkuu hii dunia inautaratibu wake,namna Magufuli alivyohandle corona,kweli tulimshangilia bali in a long run,itatugharimu,tuombe uzima tu
 
Mkuu mnapaswa kujiamini hata Kama mmekulia uswahilini
 
Nasikia wameufyata [emoji41] ila kwanini Wakenya ukigusa KQ wanasanda kama wameshikwa kende [emoji28] ...hata Mkwere alipunguzaga tu route wakanyooka vibaya [emoji28] ...

Ndio mjue hilo shirika hata kama linaendeshwa kwa hasara lakini taifa linapata faida kwa milango mingine muhimu zaidi ...
 
Vipi kuhusu Tausi wetu tuliompa Kenyatta?
 
Si walipeana ndege tausi
 
Mzee

Nani kakwambia tumekuja duniani kumpenda yeyote?

We are not obligated to love anyone,na wao Kenya hawapo obligated to love anyone whatsoever!

Infact,love ndio mwanzo wa upumbavu kama huu sisi Watz tumekua emotional kwa hatua aliyochukua Kenya...

Tunachotaka ni hela za Wakenya na uchumi wetu wa importation ya mizigo na Watalii inapita JKIA kwa zaidi ya 90%!

We dont have to love each other,the love of capitalism solves all these nonsenses you are talking about here!

Is love pay anybody?If no,then fvck it!
 
Kwa hiyo biashara kuwa ndogo ndiyo sababu ya kuwa wachokozi? Kenya mjitahidi kuwa wakweli, mkiendelea kujidanganya hivi kuna siku hali itakuwa mbaya. Undugu na ukaribu uliopo baina ya watu wa Kenya na Tanzania ni zaidi ya huu ujinga unaondika hapa
 
Wewe ng'eng'eneka tu, na mkikomaa utarudi kwenu kibera
 
Hawa wajinga ndio zao! Hata ile ishu ya mipaka walifanya hivihivi wakafikiri tz tutakaa kimya,

Alafu kuna mapumbavu machache yako humu yanafikiri yanapendwa sana na wakenya
 
Asante chief
Yani nyie mnafikiri hao wakenya wanawapenda sana?

Yani mtu akuzuie kuingia kwake kisha wewe uendelee kumkenulia meno tu?
Nchi ya hivyo haipo duniani labda Lisi akiwa rais!

Hivi unafikiri China ilipomfukuza balozi wa USA juzi sababu ya USA kufunga ubalozi mdogo wa china kule USA juzi ilikuwa ni ili tump na Ping waoneshane nani ni mbabe?
Walikuwa wana linda maslahi ya nchi zao na raia wao wanajua hilo.

Hata hapa selikali kufanya hivyo ni ili kulimda maslahi ya taifa na bibi zako kule kijijini.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Beberuu anahusikajee tenaaa jamani
Kama vipi kijana nyie nendeni tu mkaishi Kenya.
Mambo kama haya yanashughulikiwa kwa namna hii.

Magufuli kama Putin vile, wadau tulisha sema kabla huu mchezo wa kufunguliana anga ni wa nipe nikupe. Siyo chako changu na changu ni changu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…