Mkuu
Huruma gani?
Mimi kama capitalist I dont like or love anybody,weather ni Mtanzania au Mkenya au matakor ya nani..
Mimi nataka Kenyans' money and not otherwise!
Sijui huruma ya nani na nani,na sijui blah blah,hayo yote ni nonsense to me!
With Kenya coming up with their decision in place,wana sababu,na sababu zao ni corona in TZ,ni kazi ya serikali mfu ya TZ kuwahakikishia Kenyans kwamba TZ hakuna korona...
Hawa wafu hawajafanya hiyo kazi,walichokuja kufanya ni mkurupuko wa kujifanya na wao kuwafungia Wakenya as if maamuzi yao hawana hoja vile..
Kenyans wana legitimate hoja in place,Tanzanians tulitakiwa kuijibu kwamba hatuna korona na evidences hizi hapa,wawe convinced biashara iendelee.
Na pia kama hawatakua convinced then chukua hatua ufanye wanakihitaji kuhusu hiyo korona waone kweli...Wakikataa bado kuna proper decisions to take without killing hela ya biashara na mengine tunayovuna toka Kenya...
Kenya ni customer,hizi emotions kama mpo mirembe muwe mnaacha mtumie akili kufanya kazi na kutoa maamuzi serious yenye ubongo ndani na sio huu upumbavu wa darasa la pili A...
Fvck these lunatics!