Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Fire gani bwashee?

Mimi hua situmii emotions za kipumbavu kutoa decisions...

Hii decision hawa wapumbavu wetu waliochukua kutoa hilo tamko,ni jepesi mno,wangetakiwa waje na real answers to this problem na sio shortcuts kama hizi!

Jee,hili jawabu walilotoa hawa wehu ni best for our best interest economically na geopolitically in a long run?

Hilo jibu lake sio rahisi,inatakiwa ubongo,na ni too bad watu wetu hawana Bytes za kutosha bongoni mwao ku-analyze this na kuja na meaningful decisions!

Sijui lini TZ tutakua na akili na calculating mindset with our 100% interests on board!
Propose yours then, and we will be here gauging if it's on our best interest! Dont cry without proposing anything
 
Sema kujidanganya! Munapenda kujidanganya watanzania. KQ ilikuwa inakuja Dar mara 14 kwa wiki hiyo ni mara mbili kwa siku kuanzia 2015. Linganisha hiyo na KQ mara 5 kwa siku kuenda Entebbe, Jambo Jet mara 3 kwa siku kuenda Entebbe.

Hata kibiashara, Kenya inafanya biashara mingi na uganda na Rwanda kushinda Tanzania. Biashara kati ya Kenya na Uganda ni karibu mara tatu kati ya Kenya na Tanzania.
Munapenda ndo kiswahili gani?
 
Agressions zote za nini hizi?

Kuna namna nzuri ya ku-address what Kenya did na sio huu utoto wa shortcuts namna hii!

Wewe umejaza makorona nchini mwako, Kenya lazima wachukue hatua, and then na wewe unachukua jibu rahisi sana la kukataza zao?

Majibu yaliyofeli shule bwana, hesabu ngumu hayawezi, yanaweza hesabu rahisi rahisi tu.

Cheza chess hii!
Inawezekana upimwe akili ati watoto wangu wasije kwako kwa hofu ya kuambukizwa maradhi lakini watoto wako waje kwangu kama mimi ni baba nitakuwa mjinga na wanao kuwaruhusu kuja kwangu
 
Tanzania tulipokosea ,ni kuanza kujibizana nao.
Hawa binadamu wa aina ya Kenya ni wakunyamazia tu,unajifanya husikii,mwisho wa siku wataonekana wajinga.
Mkuu kidpolamsia huo ni udhaifu mkubwa sana, kesho utashangaa hata Burundi wanawashika sharubu.

Hizo hatua ni kama onyo hata kwa nchi zingine Jirani kwamba ukitaka kuingia ligi na Tanzania uwe umejipanga.

Hivyo ndio inavyotakiwa hata Mataifa makubwa miendo yao ni hiyo hiyo...

Uzuri ni kwamba Tanzania haianzishi inajibu tu mapigo kulingana na pigo za mpinzani.
 
Aise,mbona wewe post zako ni future possible tense? yaani wewe kila ukiandika "Kama ziki..." Sasa ni hivi,Dua la kuku halimpati mwewe,marekani ni nchi mojawapo amabyo inayoiamini TZ kwa kupambana na Corona,na watalii wanaendelea kuja,hizo "wishes" zako hazitatokea,but,elewa, TZ hakuna Corona! that's a bitter truth for you to swallow.nakuhakikishia,Uhuru lazima apige goti.
Hakuna korona kakwambia Dr Abbas...

Nigga you are in a fools' paradise!
 
Unaona vile huwa munajidanganya! Route ya pesa mingi kwa KQ in EAC ni Nairobi-Mombasa ambayo iko na 10 flights kwa siku. Tafadhali penda kufanya research annual books of account za KQ ziko mtandaoni.
Sawa ndo mbaki huko huko [emoji3][emoji3][emoji3]
 
We pimbi kweli? Hayo makorona yaliyojazwa nchini yako wapi? Hebu tuambie namna gani nzuri ya ku-adress hii issue ambapo mtu kaanza kukufungia anga yake. Ulitaka tuwalambe makalio?

Kenya hawakuanza Leo, umesahau walianza kwenye malori. Tulivyowatait Mbona tulielewana. Hawa watu wanatumika na washakula pesa ya mzungu kwahiyo lazima waonyeshe measures wanazochukua kukabiliana Covid ili kujustify mpunga waliokula. So, dawa yao ni kuoneshana makali mpaka tutaelewana.
Yapo kibao,tawimu za michwari unazo?

Huna

Kila siku tunazika,juzi umemzika Mkapa,covid-19...deal with it you fools!
 
Vita na Kenya hatutaiweza!! Awamu ya tano msitugombanishe na majirani... tutapata shida mno nyie mkishatoka madarakani...kurudisha uhusiano ulioparaganyika kila pande za dunia.
Kwamba twende tukawambembeleze watufungulie anga? Vipi kama sisi ndio tungeanza kuwa blacklist? Kenya ni wanafiki sana, wanatuchekea lakini humo humo wanatuhujumu. Wamevuna sana kirahisi huko nyuma sasa wamekutana na kichwa ngumu.

Wengi mnafikiri nchi kutokuwa na migogoro maana yake diplomacy iko vizuri! Kuna hatua nchi ikichukua ujue all machinery zimeona no options kuwaleta mezani huku unalinda heshima ya nchi.

Issue ya Covid19 uliwekwa utaratibu wa kutumia cheti cha kupima Covid19 kutoka nchi husika ili tusiwasumbue raia kupima kila mahali, ghafla bila kushirikisha wenzao wakaanza kusumbua watu wetu! Alafu wanasema hadharani hawaamini vipimo vyetu! Hawa dawa yao ni hii anayotumia JPM.

Hii itasaidia kila wakitaka fursa za kutupiga kizembe wawe wanajiuliza vizuri matokeo yake. Ni vizuri majirani zako wakajua unasimamia nini, ili mnapoweka terms waziheshimu full stop.
 
Mkuu

Nitoe siri gani mzee?

Serikali ina siri gani?Siri za serikali ni crimes done by watawala towards wananchi,hizo ndio siri za serikali which sio siri ni crimes which need to be exposed.

That said, hawa watawala wetu hawatumii akili kisawasawa,hii kuandika tangazo la kupiga marufuku ni njia rahisi sana na ni shortcut.

Tunataka vichwa viumie kutoa jawabu considering every aspect is taken care of.
Mbona wao wakati wanazuiwa za kwetu hawakuumiza vichwa? Kwann unataka sisi tuumize vichwa ili iweje? Kwa kitu gani kikubwa ambacho tunaloose kutoka huko Kenya.
 
Propose yours then, and we will be here gauging if it's on our best interest! Dont cry without proposing anything
Nobody is paying me for proposing anything...

Thats not my job....tumeajiri watu kufanya that,and they dont do their job!

In October we will fire them all!
 
Mkuu kidpolamsia huo ni udhaifu mkubwa sana, kesho utashangaa hata Burundi wanawashika sharubu.

Hizo hatua ni kama onyo hata kwa nchi zingine Jirani kwamba ukitaka kuingia ligi na Tanzania uwe umejipanga.

Hivyo ndio inavyotakiwa hata Mataifa makubwa miendo yao ni hiyo hiyo...

Uzuri ni kwamba Tanzania haianzishi inajibu tu mapigo kulingana na pigo za mpinzani.
Hata Kikwete kupitia Samweli Sitta walishapunguza route za Kenya Airways baada ya kusumbua watu wetu wa utalii na hapo ndio wakashika adabu.

Hawa walituzoea sana, kwasasa ni kama system haitaki tena mazoea yaliyokwisha tugharimu sana.
 
Coronavirus ndo kiini cha haya. Sasa ndo imejulikana hakuna cha EAC ama AU.Utawazuia vipi waafrica wenzako kuingia nchini mwako kisa Coronavirus ?By the way waafrica siyo watu wa kusafiri safiri sana. Pia Africa Coronavirus siyo kali kivile kama ilivyo Ulaya.

Mpita njia mwenye Corona unaweza mkaribisha nyumbani kwako ewe msamaria mwema?
 
Ilitakiwa iandikwe hivi "Due to the persistence of the corona epidemic in Kenya where it is clear that the Kenyan government has failed to control it so the Tanzanian government has decided to use discretion not to allow any flights from Kenya that are Nairobi or Mombasa even kisumu especially for airlines that transport passengers from kenya such as KQ Jambo jet and even Precision air this implementation will involve the transportation of passengers in those airlines that plan to transport passengers to our airports especially Dar es salaam Kia & Arusha as well as Mwanza this ban officially starts tomorrow 01 -08-2020"
Kwa ss hatuzunguki tuko direct, serikali ya ss co ya kinafki unawekwa wazi tu.
 
Huyu mchora vibonzo wa kikenya naye ana misukule yake kama wewe ambao pia hatujui uraia wenu ni wa nchi gani.

Yaani tz ichezewe tu na wavuta bangi halafu itulie kimyaa???
Huyo mchora kibonzo ni mtanzania anayejitambua siyo Lumumba type.Godfrey Mwampembwa aka Gado.
 
Wao kuja Bongo sio issue,tatizo ni sisi Watalii na mizigo yetu ambayo 90% inapita JKIA!

Wao kuja Bongo is nonsense here mzee!

Halafu naona mnaiona Kenya tu hapa,kuna nchi naziona zitatoa ban kama aliyotoa Kenya,until then uje hapa na majibu!

Goodluck with that!
Nchi gani hizo?!
 
Anajiliwaza tu huyo, hilo ni pigo kubwa sana kwa KQ kupoteza International Airports 3 kwa mpigo, kuanzia Jumatatu utasikia vilio toka Kenya.
Apo abiria atawarudishia nauli zao na kuwapatia malazi na chakula dah bonge la sindano!
 
Back
Top Bottom