Serikali ya Urusi yakanusha kuhusika na mauaji ya Evgeny Prigozhin

 
Asante sana Mkuu kwa nyongeza hii.
Kwa hiyo Prigozin alifanya makosa kweli na kama alifanya makosa hayo basi inawezekana hiyo na mengine tusiyoyajua ndio yalikua sababu tosha ya kumla kichwa.
Pengine alikua kama mgema aliesifiwa tembo alilitia maji.
 
Prighozin alipewa msamaha bandia kwa ule uasi uliomponza.
Sawa kabisa,ni kweli,
kama ni kweli lile jaribio la uasi lilikua ni la kweli na wala sio igizo kama watu wengi wanavyofikiria basi alistahili kuliwa kichwa.

Ilibidi itumike akili kubwa sana kwanza kabla ya kumla kichwa.

Mbinu ya kumla kichwa isiyoweza kuvuruga maendeleo ya SMO

Ilibidi kwanza yeye apumbazwe,wafuasi wake wapumbazwe na Warusi wapumbazwe kwa kuonesha kama kasamehewa utafutwe muda muafaka kisha aliwe kichwa ili kusiwe na machafuko ama vurugu kwa wale wanaompenda.

Kama kweli alifanya kwa makusudi jaribio lile basi alikosea,kwa sababu katikati ya operation yeye analeta mambo ya mapinduzi.
Maana yake alitaka jeshi lisifocus na smo lianze kupambana na watu wake hivyo kutoka kwenye malengo na hatimae kumpa adui advantage.
Sasa akili kubwa ya Moscow ikakataa kuingia kwenye mtego huo.

Hata hivyo.
Hii naiandika lkn Kwa assumption kwamba jaribio lile kama ilikua la kweli.
Maana Mimi sijui kama lilikua la kweli ama igizo.hayo ni mambo ya ndani,Mimi sijui.
 
Du! Marubani 16.ebu fafanua vizuri hapo[emoji23][emoji23]
 

Yule muhuni alikuwa na maadui wengi sana. Waliomuua ni ufaransa. Maana kitu alichowafanyia Sahel hawatakuja kukisahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…