Kwa kipigo cha Wale jamaa hapana sitaki Kabisa.siyo watu wale sijui wanakunywa damu za watu. Mpaka Leo natembea utafikiri bishoo bega linaleta tabu.Punguza uoga mzee
Na hii ndio nauliza mimi... Maana imekuwa km lazima sasa.kabla ya masharti na makubaliano nijibu swali langu.Je kuna kipengele cha sheria kinachosema ni kinyume na sheria usipopata mkopo au mkopo kuchelewa kabla ya kuwaza kuandamana.
dunia inaenda kasi sana uyo dogo malekela leo anawapiga mkwara kina badru.Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutekeleza maagizo 4 likiwamo kuwaingizia fedha wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe, yasema isipotekeleza watakusanyika nje za ofisi ya HESLB.
Mnapo ambiwa UdSM ni chuo muwe mnaelewa mengine yamekaa kimya tuuHili tatizo sio kwa UDSM pekeake
uto tutoto unatufananisha na mbowe ?Hawa ndio wanaume sio Kama mbowe na Genge lake la maridhiano
Nimepita UD pale dah maisha huwa magumu Sana usiongee hakuna muda wa kufanya ukahaba Kama huu kwa Dada zetu hakuna muda wa kula mihogo na "miamala" kwa kaka zetu wakiume. Kwa ugumu ule usiongee hayo ndugu yanguWasithubutu! na kama wanatumiwa, hata hiyo wanayopata watakosa.
Hii awamu sio ya kuuza sura kwenye tv, wamuulize Abdu Nondo.
Mnapo ambiwa UdSM ni chuo muwe mnaelewa mengine yamekaa kimya tuu
UDSM as the father of all wamekuwa wa mwanzo kutoa kauli ya matumainiUmepitia vyuo vyote ukaona wamekaa kimya au unaleta ushabiki hapa?
Mikataba inasema nikishakua mnufaika lazima nipate haki yangu, kuhusu kuandamana hapo sijuikabla ya masharti na makubaliano nijibu swali langu.Je kuna kipengele cha sheria kinachosema ni kinyume na sheria usipopata mkopo au mkopo kuchelewa kabla ya kuwaza kuandamana.
OK mkuu.Mikataba inasema nikishakua mnufaika lazima nipate haki yangu, kuhusu kuandamana hapo sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena inaweza ikawa ni haki yao pia wakawa wako sahihi lakini njia wanayotaka kuitumia kudai haki hiyo sio sahihi,kitakacho wakuta nafikili wataenda kuhadithia shangazi,wajomba,ndugu,wazazi ,bibi na babuYaani nikukumbuka kile kipigo cha Wale mashetani wanaovaa vikofia vyekundu. Sitaki kabisa hiyo habari yenu mpaka Leo began langu halijakaaga sawa yaani nilitandikwa rugu. Kama nawaona vile wanaudsm na wanavyopenda chips vidole laini kama wote wanawake watakavyozamishwa Kwenye mitaro na kipigo cha mbwa koko. Eti mihimili yote aaaaaahaaaa kichuo eti kila dola umesahau dola lazima iwe na jeshi. Wale jamaa wamefanya sana mazoezi halafu hawajapata hata vurugu moja wala maandamano tokea aingie jpm. Sasa wewe chuma janga ule na nduguzo usisahau kufukuzwa chuo na kwenda jela vyote vitakuhusu. Kama nakuona vile utakapokuwa unaelekea segerea na umevaa date zilizoandikwa maboresho magereza, utakapokutana wafungwa ambao hawajaona wake zao tokea mwaka. 1980 .Kama wewe unafikiri kukopeshwa ni lazima nenda kaandamane.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkopo ni haki kupewa kwa madai kwa sababu it's part of liability kwenye future earnings ambazo wakati mwingine utazipata kwa jashoHivi sheria ipo vipi kuhusiana mikopo:!?
Ni jambo la lazima kukopeshwa au ni misaada tu???
Unaomba kupewa pesa bado unakuwa mkali... Imekaaje hii wajuvi wa daruso?
Sent using Jamii Forums mobile app
huku jirani na kwa mjomba tulikinukisha kitambo na baadhi ya matatizo yametatuliwa. Nyie pambaneni na jotoUDSM as the father of all wamekuwa wa mwanzo kutoa kauli ya matumaini
Atleast you think big#Tatizo lipo wazi. Hayo mabillion yanayotajwa kutengwa na serikali, hayapelekwi kwenye bodi ya mikopo. Tutaishia kuwashutumu watu wa bodi kumbe hela yenyewe haipo zaidi ya kuwa kwenye hotuba za ku gain cheap popularity.
Hivi kweli hela ziwepo na hilo tishio litokee, mbona watu wangeishatumbuliwa zamani.
Hakuna hela kwenye serikali ambayo inaongoza "dona kantri"
Nchi ina vijana waoga na wanafiki kama hawa halafu unategemea ccm itoke madarakaniYaani nikukumbuka kile kipigo cha Wale mashetani wanaovaa vikofia vyekundu. Sitaki kabisa hiyo habari yenu mpaka Leo began langu halijakaaga sawa yaani nilitandikwa rugu. Kama nawaona vile wanaudsm na wanavyopenda chips vidole laini kama wote wanawake watakavyozamishwa Kwenye mitaro na kipigo cha mbwa koko. Eti mihimili yote aaaaaahaaaa kichuo eti kila dola umesahau dola lazima iwe na jeshi. Wale jamaa wamefanya sana mazoezi halafu hawajapata hata vurugu moja wala maandamano tokea aingie jpm. Sasa wewe chuma janga ule na nduguzo usisahau kufukuzwa chuo na kwenda jela vyote vitakuhusu. Kama nakuona vile utakapokuwa unaelekea segerea na umevaa date zilizoandikwa maboresho magereza, utakapokutana wafungwa ambao hawajaona wake zao tokea mwaka. 1980 .Kama wewe unafikiri kukopeshwa ni lazima nenda kaandamane.
Sent using Jamii Forums mobile app