Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Tatizo lipo wazi. Hayo mabillion yanayotajwa kutengwa na serikali, hayapelekwi kwenye bodi ya mikopo. Tutaishia kuwashutumu watu wa bodi kumbe hela yenyewe haipo zaidi ya kuwa kwenye hotuba za ku gain cheap popularity.
Hivi kweli hela ziwepo na hilo tishio litokee, mbona watu wangeishatumbuliwa zamani.
Hakuna hela kwenye serikali ambayo inaongoza "dona kantri"
Hivi kweli hela ziwepo na hilo tishio litokee, mbona watu wangeishatumbuliwa zamani.
Hakuna hela kwenye serikali ambayo inaongoza "dona kantri"