Serikali ya Wanafunzi-UDSM yatoa saa 72 kwa HESLB kutimiziwa maagizo yao vinginevyo kukusanyika nje ya ofisi ya HESLB

Serikali ya Wanafunzi-UDSM yatoa saa 72 kwa HESLB kutimiziwa maagizo yao vinginevyo kukusanyika nje ya ofisi ya HESLB

Tatizo lipo wazi. Hayo mabillion yanayotajwa kutengwa na serikali, hayapelekwi kwenye bodi ya mikopo. Tutaishia kuwashutumu watu wa bodi kumbe hela yenyewe haipo zaidi ya kuwa kwenye hotuba za ku gain cheap popularity.

Hivi kweli hela ziwepo na hilo tishio litokee, mbona watu wangeishatumbuliwa zamani.

Hakuna hela kwenye serikali ambayo inaongoza "dona kantri"
 
Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutekeleza maagizo 4 likiwamo kuwaingizia fedha wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe, yasema isipotekeleza watakusanyika nje za ofisi ya HESLB.

dunia inaenda kasi sana uyo dogo malekela leo anawapiga mkwara kina badru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasithubutu! na kama wanatumiwa, hata hiyo wanayopata watakosa.

Hii awamu sio ya kuuza sura kwenye tv, wamuulize Abdu Nondo.
Nimepita UD pale dah maisha huwa magumu Sana usiongee hakuna muda wa kufanya ukahaba Kama huu kwa Dada zetu hakuna muda wa kula mihogo na "miamala" kwa kaka zetu wakiume. Kwa ugumu ule usiongee hayo ndugu yangu
 
Yaani nikukumbuka kile kipigo cha Wale mashetani wanaovaa vikofia vyekundu. Sitaki kabisa hiyo habari yenu mpaka Leo began langu halijakaaga sawa yaani nilitandikwa rugu. Kama nawaona vile wanaudsm na wanavyopenda chips vidole laini kama wote wanawake watakavyozamishwa Kwenye mitaro na kipigo cha mbwa koko. Eti mihimili yote aaaaaahaaaa kichuo eti kila dola umesahau dola lazima iwe na jeshi. Wale jamaa wamefanya sana mazoezi halafu hawajapata hata vurugu moja wala maandamano tokea aingie jpm. Sasa wewe chuma janga ule na nduguzo usisahau kufukuzwa chuo na kwenda jela vyote vitakuhusu. Kama nakuona vile utakapokuwa unaelekea segerea na umevaa date zilizoandikwa maboresho magereza, utakapokutana wafungwa ambao hawajaona wake zao tokea mwaka. 1980 .Kama wewe unafikiri kukopeshwa ni lazima nenda kaandamane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena inaweza ikawa ni haki yao pia wakawa wako sahihi lakini njia wanayotaka kuitumia kudai haki hiyo sio sahihi,kitakacho wakuta nafikili wataenda kuhadithia shangazi,wajomba,ndugu,wazazi ,bibi na babu
 
Tatizo lipo wazi. Hayo mabillion yanayotajwa kutengwa na serikali, hayapelekwi kwenye bodi ya mikopo. Tutaishia kuwashutumu watu wa bodi kumbe hela yenyewe haipo zaidi ya kuwa kwenye hotuba za ku gain cheap popularity.

Hivi kweli hela ziwepo na hilo tishio litokee, mbona watu wangeishatumbuliwa zamani.

Hakuna hela kwenye serikali ambayo inaongoza "dona kantri"
Atleast you think big#
 
Yaani nikukumbuka kile kipigo cha Wale mashetani wanaovaa vikofia vyekundu. Sitaki kabisa hiyo habari yenu mpaka Leo began langu halijakaaga sawa yaani nilitandikwa rugu. Kama nawaona vile wanaudsm na wanavyopenda chips vidole laini kama wote wanawake watakavyozamishwa Kwenye mitaro na kipigo cha mbwa koko. Eti mihimili yote aaaaaahaaaa kichuo eti kila dola umesahau dola lazima iwe na jeshi. Wale jamaa wamefanya sana mazoezi halafu hawajapata hata vurugu moja wala maandamano tokea aingie jpm. Sasa wewe chuma janga ule na nduguzo usisahau kufukuzwa chuo na kwenda jela vyote vitakuhusu. Kama nakuona vile utakapokuwa unaelekea segerea na umevaa date zilizoandikwa maboresho magereza, utakapokutana wafungwa ambao hawajaona wake zao tokea mwaka. 1980 .Kama wewe unafikiri kukopeshwa ni lazima nenda kaandamane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ina vijana waoga na wanafiki kama hawa halafu unategemea ccm itoke madarakani

Never never... It will never happen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom