Serikali ya Wanafunzi-UDSM yatoa saa 72 kwa HESLB kutimiziwa maagizo yao vinginevyo kukusanyika nje ya ofisi ya HESLB

Serikali ya Wanafunzi-UDSM yatoa saa 72 kwa HESLB kutimiziwa maagizo yao vinginevyo kukusanyika nje ya ofisi ya HESLB

Bodi ya mikopo nao wamejigeuza kuwa mhimili. Nashangaa wanafunzi wengi wa sayansi pale CoET wa kike hawajapata mikopo wakati walisema ndio kipaumbele chao. Serikali ina pesa na rais alishasema sasa kigugumizi cha nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutekeleza maagizo 4 likiwamo kuwaingizia fedha wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe, yasema isipotekeleza watakusanyika nje za ofisi ya HESLB.

I myself see this as a blatant attempt by "some few tricky people vested with some authorities over UDSM students" to sabortage the Govermenet in the next election 2020. Mtu makini huwezi kuanza kucheza na wanafunzi wa chuo kikubwa kama hiki wakati uchaguzi hauna hata mwaka mbele. Hapa kuna watu wanaweza kuwa wana maslahi yao binafsi, kwa kushirikiana na baadhi ya walioko kwenye bodi ya mikopo, wanataka kuichafua Seruikali ikose kura uchaguzi ujao! Ni mtizamo wangu lakini
 
I myself see this as a blatant attempt by "some few tricky people vested with some authorities over UDSM students" to sabortage the Govermenet in the next election 2020. Mtu makini huwezi kuanza kucheza na wanafunzi wa chuo kikubwa kama hiki wakati uchaguzi hauna hata mwaka mbele. Hapa kuna watu wanaweza kuwa wana maslahi yao binafsi, kwa kushirikiana na baadhi ya walioko kwenye bodi ya mikopo, wanataka kuichafua Seruikali ikose kura uchaguzi ujao! Ni mtizamo wangu lakini
Eti chuo kikubwa!!? Chuo kikubwa ni cha makomandoo tu hapa Tz. Ambao wanaweza kuiweka serikalj au kuitoa. Yaani hako kachuo hata kakifutwe hakuna madhara yoyote .Hapo hata mkuu wa wilaya haji anakuja ffu mwenye rungu mkononi anatosha kutatua mgogoro
IMG_20191218_115402_101.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
labda bodi ya mikopo imerejesha serikali kuu pesa kwa ajili ya mkopo wa wanafunzi, ndio maana wanashindwa kuhudumia wanachuo wanaostahili mkopo.

au zile zilikuwa chai kuwa helsb kuagizwa kuwasilisha GAWIO serikalini?

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Tatizo lipo wazi. Hayo mabillion yanayotajwa kutengwa na serikali, hayapelekwi kwenye bodi ya mikopo. Tutaishia kuwashutumu watu wa bodi kumbe hela yenyewe haipo zaidi ya kuwa kwenye hotuba za ku gain cheap popularity.

Hivi kweli hela ziwepo na hilo tishio litokee, mbona watu wangeishatumbuliwa zamani.

Hakuna hela kwenye serikali ambayo inaongoza "dona kantri"
Wewe ndio umeongea ukweli mkuu.
Hiyo kuwatishia kuwafukuza ni ili tu kulinda heshima yao wasidhalilike.
Wanashindwa tu kusema ukweli kwamba hela hawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom