Serikali ya Wanyonge, bei ya vifaa vya ujenzi yapaa maradufu, kunani?

Serikali ya Wanyonge, bei ya vifaa vya ujenzi yapaa maradufu, kunani?

Brigedia Chan-ocha

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
1,353
Reaction score
2,846
Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei?

Mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku 4 ikapaa hadi 21000 kwa mfuko, sasa najiuliza tatizo ni nini huko viwandani? na Nondo nimejulishwa kwamba zimepanda kutoka sh. 20000 kwa nondo ya milimita 12 hadi sh. 22000, serikali ipo wapi?

Waziri yupo wapi? hili nalo hadi tumsubirie Tundu Lissu alisemee ndo tutoke mafichoni kulielezea? kama mahitaji yamekuwa makubwa kwa nini msiruhusu vifaa kutoka nchi jirani ya kenya au Uganda au Rwanda viingie nchini ili ku-stabilize Bei na kutomuumiza mwananchi wa kawaida?

Sisi wananchi tunahitaji maelezo ya kina ya kwa nini Hali hii ipo hivi.
 
Dangote ameleta nafuu gani kwenye bei ya cement? Nakumbuka huko nyuma kiwanda kilisifiwa sana kwamba kingeleta nafuu kwenye bei.
 
Huu ni mwezi mgumu sana kwa CCM! Hakuna kiongozi atakayekuelewa kwa sasa. Wote wamejifungia mafichoni kujiandaa na goli la mkono wiki chache zijazo.

Lissu amewavuruga kabisa kiasi cha kupoteana kwenye uwanja wa mapambano.
 
Huku kanda ya ziwa cement zimekuwa adimu sana.
 
Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei?

mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku 4 ikapaa hadi 21000 kwa mfuko, sasa najiuliza tatizo ni nini huko viwandani? na Nondo nimejulishwa kwamba zimepanda kutoka sh. 20000 kwa nondo ya milimita 12 hadi sh. 22000, serikali ipo wapi?

Waziri yupo wapi? hili nalo hadi tumsubirie Tundu Lissu alisemee ndo tutoke mafichoni kulielezea? kama mahitaji yamekuwa makubwa kwa nini msiruhusu vifaa kutoka nchi jirani ya kenya au Uganda au Rwanda viingie nchini ili ku-stabilize Bei na kutomuumiza mwananchi wa kawaida?

Sisi wananchi tunahitaji maelezo ya kina ya kwa nini Hali hii ipo hivi.
Dawa ni kuwakomesha kwenye box baadaye mwezi huu.
 
Nondo nazo bei inafukuzana na cement kupaa.

Hiyo miradi mikubwa ingetumia cement &nondo kutoka nje tu kwa maana viwanda vya ndani vinabebwa lakini bado havikidhi mahitaji ya soko nchini.

Pamoja na bei kupanda bado hata upatikanaji wenyewe ni kwa kusubiri.
 
Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei?

Mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku 4 ikapaa hadi 21000 kwa mfuko, sasa najiuliza tatizo ni nini huko viwandani? na Nondo nimejulishwa kwamba zimepanda kutoka sh. 20000 kwa nondo ya milimita 12 hadi sh. 22000, serikali ipo wapi?

Waziri yupo wapi? hili nalo hadi tumsubirie Tundu Lissu alisemee ndo tutoke mafichoni kulielezea? kama mahitaji yamekuwa makubwa kwa nini msiruhusu vifaa kutoka nchi jirani ya kenya au Uganda au Rwanda viingie nchini ili ku-stabilize Bei na kutomuumiza mwananchi wa kawaida?

Sisi wananchi tunahitaji maelezo ya kina ya kwa nini Hali hii ipo hivi.
Unajulishwa halafu unataka utulishe matango pori na sisi, nenda kapige picha hizo bei, au tupigie picha risiti ya hivyo vifaa ulivyonunua tuone hapa, usituletee stori zako za nadharia leta ushahidi hapa, watanzania tumechoka kulishwa Matango pori.
Tunasimama na msema kweli wetu Magufuli, na tutamchagua yeye Magufuli ndiye msema kweli wetu na mtetezi wetu.
 
Covid ina athari nyingi
Hii ni mojawapo
Kuwa muelewa mkuu, kuwa mzalendo
Pendant vitu vyako vya ndani
 
Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei?

Mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku 4 ikapaa hadi 21000 kwa mfuko, sasa najiuliza tatizo ni nini huko viwandani? na Nondo nimejulishwa kwamba zimepanda kutoka sh. 20000 kwa nondo ya milimita 12 hadi sh. 22000, serikali ipo wapi?

Waziri yupo wapi? hili nalo hadi tumsubirie Tundu Lissu alisemee ndo tutoke mafichoni kulielezea? kama mahitaji yamekuwa makubwa kwa nini msiruhusu vifaa kutoka nchi jirani ya kenya au Uganda au Rwanda viingie nchini ili ku-stabilize Bei na kutomuumiza mwananchi wa kawaida?

Sisi wananchi tunahitaji maelezo ya kina ya kwa nini Hali hii ipo hivi.
jingalao
johnthebaptist
 
Ninamifuko kama 150 ya cement kuna ka project nilikua nakavutia kasi. Ikipanda sana naiuza afu mwakani ikishuka nanunua mingi zaidi
 
Back
Top Bottom