RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Lake cement, Camel cement, Kilimanjaro cement vipo vingi. Demand ni kubwa, demand ikishuka na bei inashuka.Hela ya kampeni kwa maccm. Viwanda vya cement vipo vinne. Wazo, mbeya cement, tanga cement na dangote. Mbona uzalishaji na mahitaji ni mbingu na ardhi! % kubwa ya mali ghafi zinapatikana hapa hapa bongo. Watakuwa wamepandishiwa kodi, na mlaji ndio mlipaji. Hamna namna inabidi ununue tu maana pesa haiwekeki. Na hatujui baada ya uchaguzi kama hawa mashetani yatarudi kuitawala hii nchi ndio tutanyooshwa sawasawa.
Msisahau 28/10 kura kwa Lissu.