Serikali ya Wanyonge, bei ya vifaa vya ujenzi yapaa maradufu, kunani?

Hela ya kampeni kwa maccm. Viwanda vya cement vipo vinne. Wazo, mbeya cement, tanga cement na dangote. Mbona uzalishaji na mahitaji ni mbingu na ardhi! % kubwa ya mali ghafi zinapatikana hapa hapa bongo. Watakuwa wamepandishiwa kodi, na mlaji ndio mlipaji. Hamna namna inabidi ununue tu maana pesa haiwekeki. Na hatujui baada ya uchaguzi kama hawa mashetani yatarudi kuitawala hii nchi ndio tutanyooshwa sawasawa.

Msisahau 28/10 kura kwa Lissu.
 
Miradi ya serikali ni mingi, SGR, Stingler, Ubungo flyover, Salender Bridge, Dodoma Projects etc

Lazima cement iwe adimu

Cement sio adimu bali ni ghali sana. Viwanda vingi vinavyozalisha fifaa vya ujenzi vimepunguza kwa kiasi kikubwa kutokana na mauzo/mahitaji ya bidhaa wanazozalisha kupungua sana, hivyo ili kuhimili gharama za uendeshaji na wapate faida pia inabidi wapandishe bei za bidhaa zao inapokua lazima.
 
Viwanda vingi vinamilikiwa na wageni ama wazawa wenye asili ya India au Arabia. Miaka yote uchaguzi ukikaribia viwanda vingi hufungwa, wamiliki huenda nje kusubiria matokeo ya uchaguzi. Kifuatacho ni uhaba wa bidhaa na kuipeleka bei juu.
 
Maisha yataendelea kuwa magumu sanaaaa tuuu, hakuna ongezeko la mshahara kwa waajiriwa ila gharama za maisha zinazidi kupanda kwa kas kubwa ndani ya miaka 5 mshahara ni uleule ila sukari imepanda, Ada ipo juu, cement, nondo hazishkiki yani shida tupu...
 
wewe na Nani?
 
Unajua kuna watu walijua uchumi ni just an issue like mixing chemicals and observing reactions.
Uchumi ni Demand na Supply bhana. Mahitaji makubwa alafu mtu anabana nchi jirani wasiingize bidhaa zao wakati ndani uzarishaji mdogo matokeo yake ndio haya sasa!
Mbaya zaidi bado mtu anataka tena aongezewe muda sera zikiwa zile zile za kununua midege which has nothing to do with people's welfare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…