Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Pia ni vizuri kutumia vifaa mbadala katika kujenga ili kupunguza utegemezi wa cement. Mfano, matofali ya kuchoma
Imeshaexpire hiyoNinamifuko kama 150 ya cement kuna ka project nilikua nakavutia kasi. Ikipanda sana naiuza afu mwakani ikishuka nanunua mingi zaidi
Miradi ya serikali ni mingi, SGR, Stingler, Ubungo flyover, Salender Bridge, Dodoma Projects etc
Lazima cement iwe adimu
Viwanda vingi vinamilikiwa na wageni ama wazawa wenye asili ya India au Arabia. Miaka yote uchaguzi ukikaribia viwanda vingi hufungwa, wamiliki huenda nje kusubiria matokeo ya uchaguzi. Kifuatacho ni uhaba wa bidhaa na kuipeleka bei juu.Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei?
Mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku 4 ikapaa hadi 21000 kwa mfuko, sasa najiuliza tatizo ni nini huko viwandani? na Nondo nimejulishwa kwamba zimepanda kutoka sh. 20000 kwa nondo ya milimita 12 hadi sh. 22000, serikali ipo wapi?
Waziri yupo wapi? hili nalo hadi tumsubirie Tundu Lissu alisemee ndo tutoke mafichoni kulielezea? kama mahitaji yamekuwa makubwa kwa nini msiruhusu vifaa kutoka nchi jirani ya kenya au Uganda au Rwanda viingie nchini ili ku-stabilize Bei na kutomuumiza mwananchi wa kawaida?
Sisi wananchi tunahitaji maelezo ya kina ya kwa nini Hali hii ipo hivi.
Kwamba inaenda kutumika kwenye miradi hiyo?Miradi ya serikali ni mingi, SGR, Stingler, Ubungo flyover, Salender Bridge, Dodoma Projects etc
Lazima cement iwe adimu
Kitoto cha CCM hiki,kinanuka kijani tu.Pia ni vizuri kutumia vifaa mbadala katika kujenga ili kupunguza utegemezi wa cement. Mfano, matofali ya kuchoma
Mkuu mwenye macho haambiwi tazama.Eti serikali ya wanyonge..wanyonge wanyoko..? Haya viwanda viko wapi vinavyonadiwa.?
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ku expire kwa cement ni pale itakapolowa kwa maji. Luganda na kuwa mabonge kama mawe si tatizo, inatwangwa kwenye kinu na kuchekechwa inarudi kuwa poa.Imeshaexpire hiyo
Ah wapi badoImeshaexpire hiyo
Kwahio unadhani matofali ya kuchoma supply yake ni infinity?Pia ni vizuri kutumia vifaa mbadala katika kujenga ili kupunguza utegemezi wa cement. Mfano, matofali ya kuchoma
wewe na Nani?Unajulishwa halafu unataka utulishe matango pori na sisi, nenda kapige picha hizo bei, au tupigie picha risiti ya hivyo vifaa ulivyonunua tuone hapa, usituletee stori zako za nadharia leta ushahidi hapa, watanzania tumechoka kulishwa Matango pori.
Tunasimama na msema kweli wetu Magufuli, na tutamchagua yeye Magufuli ndiye msema kweli wetu na mtetezi wetu.
Akili kixoda🤣🤣Pia ni vizuri kutumia vifaa mbadala katika kujenga ili kupunguza utegemezi wa cement. Mfano, matofali ya kuchoma
Waache hao wanaong'ang'ania mikoani wale jeuri yao.Kwa dar cement mpaka 17000 toka 13000
Mimi na watanzania wote wapenda ukweliwewe na Nani?
Mimi na watanzania wote wapenda ukweliwewe na Nani?
Unajua kuna watu walijua uchumi ni just an issue like mixing chemicals and observing reactions.Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei?
Mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku 4 ikapaa hadi 21000 kwa mfuko, sasa najiuliza tatizo ni nini huko viwandani? na Nondo nimejulishwa kwamba zimepanda kutoka sh. 20000 kwa nondo ya milimita 12 hadi sh. 22000, serikali ipo wapi?
Waziri yupo wapi? hili nalo hadi tumsubirie Tundu Lissu alisemee ndo tutoke mafichoni kulielezea? kama mahitaji yamekuwa makubwa kwa nini msiruhusu vifaa kutoka nchi jirani ya kenya au Uganda au Rwanda viingie nchini ili ku-stabilize Bei na kutomuumiza mwananchi wa kawaida?
Sisi wananchi tunahitaji maelezo ya kina ya kwa nini Hali hii ipo hivi.
😂😂Vijana wa CCM hawajui bei ya cement wala nondo. Hawawezi kuja hapa