Serikali ya Wanyonge, bei ya vifaa vya ujenzi yapaa maradufu, kunani?

Lake cement, Camel cement, Kilimanjaro cement vipo vingi. Demand ni kubwa, demand ikishuka na bei inashuka.
 
Ninamifuko kama 150 ya cement kuna ka project nilikua nakavutia kasi. Ikipanda sana naiuza afu mwakani ikishuka nanunua mingi zaidi

Unahifadhi vipi hiyo cement bila kuganda?
 
Bei ya vifaa vya ujenzi haina vyama, uzuri wote tunaisoma namba!
 
Saruji inatoka Dubai inafika Zanzibar inauzwa 13,000, inatoka Tanga ikifika zanzibar bei hio hio! Sukari inapanda meli tokea Brasil ikifika hapa inauzwa kwa unafuu ila inayotoka mtibwa inakuwa ghali, vitunguu maji vinatoka dubai rahisi kuliko kununua bara. Yaani kuagiza vitu nje ni rahisi kuliko vinavyozalishwa hapa hapa. Ukweli tugawane fito tu 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…