Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uli
Uliuziwa kanyaboya kiufupi ulitapeliwa
Ni punguani pekee anayeamini kuwa pwani ya Tanganyika ni sehemu ya zanzibar.kwa hiyo na sisi tukadai Rwanda na Burundi Kwa kuwa ilikuwa inaitwa German east africaRanchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Heligoland Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Heligoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
Ni kweli SMZ Ilipewa eneo la Makurunge litumike kama Ranch na Stock Holding point, kwa ajili ya Mifugo inayo safirishwa kutoka Mainland kwenda Z"bar. Walipatiwa na Baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere na wanalimiliki kihalali
Wewe boya ni halali utapeliwe3 kwasababu ni bogaz pale kwala Kuna eneo wapewa serikali ya Zambia kwa ajiri wa ujezi wa bandari kavu yao kwaiyo unataka kusema hiyo ardhi ni sehemu ya Zambia?Ni punguani pekee anayeamini kuwa pwani ya Tanganyika ni sehemu ya zanzibar.kwa hiyo na sisi tukadai Rwanda na Burundi Kwa kuwa ilikuwa inaitwa German east africa
1.Achana na ishu za Mipaka kabla ya uhuru,coz kabla ya waarabu Pwani ilikuwa ya Wareno...Fort Jesus ikiwa makao makuu yao.Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Heligoland Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Heligoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
Ni kweli SMZ Ilipewa eneo la Makurunge litumike kama Ranch na Stock Holding point, kwa ajili ya Mifugo inayo safirishwa kutoka Mainland kwenda Z"bar. Walipatiwa na Baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere na wanalimiliki kihalali
Ni eneo la uwekezaji,,mkataba unakuwa na mda maalum.Wewe boya ni halali utapeliwe3 kwasababu ni bogaz pale kwala Kuna eneo wapewa serikali ya Zambia kwa ajiri wa ujezi wa bandari kavu yao kwaiyo unataka kusema hiyo ardhi ni sehemu ya Zambia?
Mpe linkHili swala mbonaa lpo humu na ufafanuz ulitolewa search hum hum jf utaona ......nazan ilikuwa mwaka jana
Mkishaungana mambo ya milion 59 na milioni moja yanaisha inakuwa ni kiru kimoja.Yani watu milioni 59 mnataka kushindana na wale wanetu milioni 1?
Hata like ni eneo la uwekezaji kwa nendeni wizara husika mkafuatilie Muda wakeNi eneo la uwekezaji,,mkataba unakuwa na mda maalum.
Tuliza matako, soma na kuelewa acha matusi. Nilikuwa nakupa kipande cha historia tu. Lakini key word ni Nyerere kuwapa eneo la Makurunge kwa mujibu wa sheria ya ardhiNi punguani pekee anayeamini kuwa pwani ya Tanganyika ni sehemu ya zanzibar.kwa hiyo na sisi tukadai Rwanda na Burundi Kwa kuwa ilikuwa inaitwa German east africa
Ni kweli, lakini Nyerere aliwapa eneo la Makurunge kihalali. Ni Rais tu anaweza kubatilisha umiliki au tusibiri expiry date ya hiyo certificate of title1.Achana na ishu za Mipaka kabla ya uhuru,coz kabla ya waarabu Pwani ilikuwa ya Wareno...Fort Jesus ikiwa makao makuu yao.
2.Pia on October 8 1963,Sultanate ya Zanzibar ilikubaliana kuacha madai yake yote juu ya ardhi iliyopo Afrika Mashariki.
Wanalipia kodi kiasi gani? Maana wenye hati miliki ya ardhi wanalipia kodi kila mwaka isipokuwa maeneo yanayomilikiwa na serikali. Zanzibar sio serikali yetu Watanzania(ganyika) na hivyo kama hawalipii kodi ya ardhi ni eneo huru kwetu. Kama eneo ni la serikali ya Tanzania tueleweshwe. Huyo mpangaji alimilikishwa kwa miaka mingapi?Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Heligoland Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Heligoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
Ni kweli SMZ Ilipewa eneo la Makurunge litumike kama Ranch na Stock Holding point, kwa ajili ya Mifugo inayo safirishwa kutoka Mainland kwenda Z"bar. Walipatiwa na Baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere na wanalimiliki kihalali
Hayo masuala ya kulipa kodi ya ardhi yana mamlaka yake. Ninajuwa kuwa 80% ya Watanzania hawalipi kodi ya ardhi ipasavyo na bado wanaishi kwenulye nyumba hizo.Wanalipia kodi kiasi gani? Maana wenye hati miliki ya ardhi wanalipia kodi kila mwaka isipokuwa maeneo yanayomilikiwa na serikali. Zanzibar sio serikali yetu Watanzania(ganyika) na hivyo kama hawalipii kodi ya ardhi ni eneo huru kwetu. Kama eneo ni la serikali ya Tanzania tueleweshwe. Huyo mpangaji alimilikishwa kwa miaka mingapi?