Serikali yaagiza NIMRI kufanya uchunguzi wa Madhara ya Energy Drinks

Kitaan asubuh tu boda boda wanaamka nazo na vitafunio vyao,hali inatisha,,,wale waliokua wanatembeza chai ya Tangawizi na maandazi walikua wanaokoa jahaz sijui wamepotelea wapi siku hizi.
 
Poelnsana ila energy drinks zina shida kubwa sana vijana wanabwia plus K vant hatari sanaa ...kisa bedroom. Bully khaaas yana muda hayo
 
Hakuna kitu kisichokuwa na madhara.
Huyo mtu labda alitumwa ili kuharibu biashara ya watu.

Kwa maana,ni ujinga kiwango Cha PhD kunywa chupa TANO kwa mpigo.

Na Kuna maelekezo kwenye lebo ya chupa.walichokitafuta wamefaulu japo ni swala la mda.
Hata JUICE YA MANGO unaambiwa uitikise kabla ya kuinywa.

PUMBAFU
 
 
Sasa anakunywa chupa 5 unatagemea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…