Serikali yaanza kuogopa "maono" ya Lema

Lema anapenda jela!nasikia anarafiki huko ndani anaitwa mjusi huwa anammiss! Jamani hizo ni ubuyu tu wa kitaa!
 
Lema anapenda jela! Nasikia anarafiki huko ndani anaitwa mjusi huwa anammiss! Jamani hizo ni ubuyu tu wa kitaa!
 
Wewe na akili yako unaamini Lema alikuwa anaota? Lema anaweza kudhibitisha kuwa alikuwa anaota hayo mambo? Mtu akiota huwa anaitisha mkutano wa hadhara kuwahutubia wananchi ndoto alizoota?

Msitufanye wajinga. Lema ana kesi nzito ya kujibu mahakamani. Apeleke kithibiti cha hizo ndoto mahakamani kama anaweza la sivyo ategemee kupata kifungo cha maisha jela.
 
Sana Mkuu, yani ni maajabu sana lakini yanayotendeka.
 
Mawakili wa serikali ni wa tupu sana,kama siyo msaada na amri za wakubwa kesi zote za kisiasa
 
Lena hayo maono aliyatoa bungeni au nje ya bunge! Lakini mbunge so anajidhamini mwenyewe kwa kazi yake
 
Wenzio wametumia maono yake lema kumdidimiza mwenyewe,wewe unasema serikali inamuogopa?aende akaote jela,akitoka kanyooka
Kwani Lema ni mara ya kwanza kwenda jela?
 

Tumejaza "magunia ya viazi" kwenye baadhi ya ofisi za serikali.

Na laiti ningelikuwa kizimbani, basi ningemuomba authibitishie umma kutokana na kauli yake.
Kwa baadhi ya nchi huyu muda huu angekuwa papaya sana
 
Sijui kwanini serikali mara zote inamuogopaga sana Lema? Is either Arusha haitakiwi iongozwe na mpinzani au Lema has got very special thing which we don't know.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…