Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wangekuwa hawamuofifii si wange mdharau basi wakamuchia,wewe kichaa akikutukana au kukupiga una shindana nae zaidi ya kumuachaHivyo tunadanganya watu ili wasigundue tuna matatizo makubwa kuliko kuhangaika na ndoto za huyu kichaa Lema?
Jee huwezi kudhani kuwa hata kupelekwa kwake ndani yaweza kuwa ni mpango wa Mungu ili jambo fulani litimie? Mbona kurudi kwake Kisongo inaonyesha kama ndio mwisho wa Lema kwenu? Hata Yusuph alipelekwa gerezani lakini mbona ndiye aliyeokoa taifa hilohilo lililompeleka jela?Wenzio wametumia maono yake lema kumdidimiza mwenyewe,wewe unasema serikali inamuogopa?aende akaote jela,akitoka kanyooka
Kama maneno haya yametamkwa na mtu msomi mwenye cheo cha wakili kisha akaaminiwa na serikali basi kuna tatizo mahali na ni kubwa kuliko tunavyodhani
Novel NineteenEightyFour describes thoughtcrime asPoor minds and small brains never overcome Great Thinkers.
A dream is just a series of thoughts, images, and sensations occurring in a person's mind during sleep.
So why worry on someone thoughts???
A very miserable doubtful and actions taken for some in his dream(s) ...and is not forbbiden/stop someone to dream.
Hebu acheni kutuaibisha Viongozi kwani hakika hii ni aibu kwa ndani na nje ya nchi eti mtu kukamatwa kisa tu eti ameota na kuhadithia ndoto yake.
Sasa kwanini usiandike kiswahili peke yake? Sasa neno "hakiri" na "umeshalanduka" yana maana gani?Je umetumia hakiri yako au umeshalanduka
Sasa kwanini usiandike kiswahili peke yake? Sasa neno "hakiri" na "umeshalanduka" yana maana gani?Je umetumia hakiri yako au umeshalanduka
Tumejaza "magunia ya viazi" kwenye baadhi ya ofisi za serikali.Kama maneno haya yametamkwa na mtu msomi mwenye cheo cha wakili kisha akaaminiwa na serikali basi kuna tatizo mahali na ni kubwa kuliko tunavyodhani
Cdhan km unaweza kuelewa hata km nikikuelewesha!!!!Sasa kwanini usiandike kiswahili peke yake? Sasa neno "hakiri" na "umeshalanduka" yana maana gani?
Kumbe hata asingeyatamka hayo maneno angepelekwa gerezani!!Wanamuonea tu lema mbona hata Hezekiah aliambiwa atengeneze mambo yake asipotengeneza atakufa, hata Lema asingesema kila nafsi itaonja mauti kwa mda wake sasa kumshikilia Lema ni uonevu mtupu na kukomoana
hivi Kabombe unajielewa kweli?Wenzio wametumia maono yake lema kumdidimiza mwenyewe,wewe unasema serikali inamuogopa?aende akaote jela,akitoka kanyooka
Unajitahidi kuandika kwa Kiingereza lakini tafadhali hariri kwanza kabla hujachapisha:Novel NineteenEightyFour describes thoughtcrime as
thoughts that conflict with the Party line,
like thinking " BigBrother is ungood". Tanzania we have gone a step further and criminilized dreaming- Lema stands accused of dreamcrime.