maurice bernad
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 314
- 213
Kwan serikali inaamini maono na uchawi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'Sijaribiwi'Kati ya watu x basi y ni machizi ya akili. Hivi kwa akili ya kawaida watu wanamwona lema kauli zake za akili kweli? Tuache siasa pembeni then back to humanity then make conclusion and recommendation on Lema's speech after then u can see how foolish ur.
Huo ndio uoga wenyewe, basi.Wenzio wametumia maono yake lema kumdidimiza mwenyewe,wewe unasema serikali inamuogopa?aende akaote jela,akitoka kanyooka
Then ndio mnataka mawakili kama hawa washinde kesi za maana?Inavyoonekana serikali imeanza kuogopa kauli ya Lema aliyoitoa kuwa "Endapo rais atafikiri yeye ni Mungu basi Mungu anaweza kusitisha maisha yake kabla ya 2020".
Hayo yamejidhihirisha leo mahakamani baada ya wakili wa serikali kusema,
"Lema asipewe dhamana kwa kuwa alisema Rais atakufa kwa hiyo akitoka ataweza kuufanikisha mpango huo. Lakini pia kwa sasa mke wa Rais ni mgonjwa na inawezekana ndio sehemu ya maono ya Lema kuidhuru familia ya Rais".
Mwanaume wa ajabu unayeogopa jela... Ndio maana kule kwenu hakuna tajiriWenzio wametumia maono yake lema kumdidimiza mwenyewe,wewe unasema serikali inamuogopa?aende akaote jela,akitoka kanyooka
"Sie jela nyie ahela, Mungu hapendagi ujinga" copy & paste.Wewe na akili yako unaamini Lema alikuwa anaota? Lema anaweza kudhibitisha kuwa alikuwa anaota hayo mambo? Mtu akiota huwa anaitisha mkutano wa hadhara kuwahutubia wananchi ndoto alizoota?
Msitufanye wajinga. Lema ana kesi nzito ya kujibu mahakamani. Apeleke kithibiti cha hizo ndoto mahakamani kama anaweza la sivyo ategemee kupata kifungo cha maisha jela.
Hell No! Hivi Mtu akisema ameota Mtu ameninii na Akanyanyuka Kweli, Utasema kwa Kuota ndoto ameua! Kweli hizo Ndio sheria za Mzee Juma Ponda Mali!Nawaza tu kwa sauti, hivi kweli yakitokea ya kutokea Mungu pishia mbali na Lema angali yuko mahabusu serikali itamuhusisha Lema na hayo?
Lema amezungumza lugha ambayo wao wanaifahamu. Walizoea wao tu kutisha watu.Lema amekuwa mwiba
Hivi nikiota nimelala na mkeo utanipeleka polisi?Wenzio wametumia maono yake lema kumdidimiza mwenyewe,wewe unasema serikali inamuogopa?aende akaote jela,akitoka kanyooka
Kama mtu anatoa story za ndoto anafungwa sasa jamaa akidedi lazima yeye ndiyo ataambiwa kamdedishaNawaza tu kwa sauti, hivi kweli yakitokea ya kutokea Mungu pishia mbali na Lema angali yuko mahabusu serikali itamuhusisha Lema na hayo?
una akili sana divaWanamuonea tu lema mbona hata Hezekiah aliambiwa atengeneze mambo yake asipotengeneza atakufa, hata Lema asingesema kila nafsi itaonja mauti kwa mda wake sasa kumshikilia Lema ni uonevu mtupu na kukomoana
I was thinking the same wayNawaza tu kwa sauti, hivi kweli yakitokea ya kutokea Mungu pishia mbali na Lema angali yuko mahabusu serikali itamuhusisha Lema na hayo?
Safi sana hizo ndo hekima za kimaandikoWanamuonea tu lema mbona hata Hezekiah aliambiwa atengeneze mambo yake asipotengeneza atakufa, hata Lema asingesema kila nafsi itaonja mauti kwa mda wake sasa kumshikilia Lema ni uonevu mtupu na kukomoana
Daaah kweli, yaan nmesoma coment yako huku uo wimbo unaimba.Nifundishe kunyamaza Ee MUNGU