kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Hizo gharama za kuchapisha hivyo vipeperushi ni za CCM au serikali?Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali nakuonekana ngoma si Kama tulivyoivalia kibwebwe.
Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya Tena kwa picha na video...Kama atukuelewa kupitia TBC Ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea.
Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali nakuonekana ngoma si Kama tulivyoivalia kibwebwe.
Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya Tena kwa picha na video...Kama atukuelewa kupitia TBC Ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea.
Bashiru hatumii elimu yake kuiendeleza CCM. Anashindwa kuja na mkikakati imara, chama kimepwaya sana.Hivi meneja wao wa kampeni amepwaya sana hajui kama mtu akiwa na njaa halafu ukampelekea kipeperushi ndio anazidi kukasirika
wanatumia vibaya pesaNimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali nakuonekana ngoma si Kama tulivyoivalia kibwebwe.
Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya Tena kwa picha na video...Kama atukuelewa kupitia TBC Ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea.
Hakika Jamaa atakua amemiss sana support ya Kinana na January na Nape. Hao Jamaaa waliziweza sana Kampeni za miaka hiyo. Jamaa akawalipa stahiki zao. Sasa wanapambana na hali zao kimya kimya. Miss you Mkapa, Meko alikulilia kwa mengi...Bashiru hatumii elimu yake kuiendeleza CCM. Anashindwa kuja na mkikakati imara, chama kimepwaya sana.
Majina ya kututapelia watanzania!Ama kweli mwaka huu nimeupenda sana. Eti walikuwa wanabana pua "Upinzani umekufa". Watakufa wao na siasa zao za kimirengo na kutupachika majina mabaya mabaya. Eti Wanyonge!!! Eti masikini!! Wanahisi tunafurahia hayo majina wanayotupachika kila kukicha.
Kwanza vya nini kutuchafulia mazingira??Huo uchafu wakiniletea nauchana mbele yao hata bila kusoma.
mimi fundi akishaaza tu malelezo mengiii nasepa zangu...najua hamna fundi humo.Hata ukienda kwa fundi serimala kabati zuri linaonekana huna haja ya kupewa maelezo mengi.