Uchaguzi 2020 Serikali yaanza kuprint vipeperushi vya mafanikio ya Awamu ya Tano, tuvisome?

Uchaguzi 2020 Serikali yaanza kuprint vipeperushi vya mafanikio ya Awamu ya Tano, tuvisome?

Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali na kuonekana ngoma si kama tulivyoivalia kibwebwe.

Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya tena kwa picha na video. Kama hatukuelewa kupitia TBC ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea.
Tena jambo hilo ni kijume na taratibu na sheria za NEC, hupaswi kusema ulifanya nini bali utafanya nini ili wagombea wote wawe level moja, tuchane chane upuuzi huo.
 
Hizo gharama za kuchapisha hivyo vipeperushi ni za CCM au serikali?
Kama A=B na B=C kuna jamaa alisema A=C! kwa hiyo iwe CCm au Serikali ni ngumu kutofautisha mkuu!! kwani hujasikia maagizo kwa serikali yakitolewa kwenye uwanja wa kampeni ya chama!
 
Nani atasoma sasa?
1602351597603.png


Tunataka wewe usome usipite kama kasuku!
 
Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali na kuonekana ngoma si kama tulivyoivalia kibwebwe

Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya tena kwa picha na video. Kama hatukuelewa kupitia TBC ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea


Vipeperushi ni lazima kwani watu wanatafuta kula dakika za lala salama , wacha gogo walichange kabla halijaisha. Bila kuchapisha mlo utakuja kwa njia gani
 
Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali na kuonekana ngoma si kama tulivyoivalia kibwebwe

Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya tena kwa picha na video. Kama hatukuelewa kupitia TBC ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea

Mkuu weka ushahidi hapa ya unacho kisema!
 
Back
Top Bottom