Tena jambo hilo ni kijume na taratibu na sheria za NEC, hupaswi kusema ulifanya nini bali utafanya nini ili wagombea wote wawe level moja, tuchane chane upuuzi huo.Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali na kuonekana ngoma si kama tulivyoivalia kibwebwe.
Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya tena kwa picha na video. Kama hatukuelewa kupitia TBC ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea.
Kama A=B na B=C kuna jamaa alisema A=C! kwa hiyo iwe CCm au Serikali ni ngumu kutofautisha mkuu!! kwani hujasikia maagizo kwa serikali yakitolewa kwenye uwanja wa kampeni ya chama!Hizo gharama za kuchapisha hivyo vipeperushi ni za CCM au serikali?
Sasa wewe mbona unashinda humu kujaza majungu?Hata ukienda kwa fundi serimala kabati zuri linaonekana huna haja ya kupewa maelezo mengi.
Nani atasoma sasa?
Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali na kuonekana ngoma si kama tulivyoivalia kibwebwe
Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya tena kwa picha na video. Kama hatukuelewa kupitia TBC ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea
Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali na kuonekana ngoma si kama tulivyoivalia kibwebwe
Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza mliyofanya tena kwa picha na video. Kama hatukuelewa kupitia TBC ni vigumu sana kuelewa vipeperushi kwa sababu sisi hatuna tabia ya kujisomea