johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Labda hao wanaoiba hawashirikishwi kwenye uandaaji wa hizo script.Sasa mbona kila script inaandikwa tumekomesha wizi na ufisadi?
Fedha zimeliwa na wajanja au wezi mkuu?Waziri wa kilimo mh Hasunga amesema mabilioni ya fedha za korosho yameliwa na wajanja hivyo ameunda tume ya uchunguzi kufuatilia ubadhirifu huo.
Pia mh Hasunga amemtaka CAG kuikagua bodi ya korosho kwani kuna kiasi cha zaidi ya sh bilioni 55 hazijulikani ziliko.
Kadhalika Waziri amewataka wakulima wa korosho ambao bado hawajalipwa wajitokeze wakiwa na vielelezo vyao.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Ujanja ujanja ndio wizi wenyewe mkuu!Fedha zimeliwa na wajanja au wezi mkuu?
Wewe shauri yako utajaza maji pipa kwa kisodaNa mbwembwe zote zile, ina maana wale jamaa nao ni wapigaji?
Mkumbushe huyo bwashee!Wewe shauri yako utajaza maji pipa kwa kisoda
Nani alikuambia? Wizi na ufisadi hauwezi kuisha. Upo hata zile nchi ambazo zina kiwango kidogo cha ufisadi. Kinachotakiwa ni viongozi wenye nia na kiu ya kuuchukulia hatua kama ilivyoibuliwa hapa.Mbona tunaambiwa wizi na ufisadi umeisha awamu hii??
Ni mimi sijaukelewa au? Kawahiyo unamaanisha 2017/18 kilikua cha Mwinyi?hajasema ni kwa msimu upi,watazunguka wee lakini msimu unaosemwa ni wa 2017/2018 lakini msimu wa magufuli wa 2018/2019/hausemwi na huu ndio kuna wakulima wengi wamepata hasara na baadhi kutolipwa