Serikali yabainisha walimu 58 wenye PhD shule za msingi!

Kwani hata kama PHD holders wanafundisha shule za msingi hata chekechea tatizo ni nini? Walilazimishwa?

Kimsingi nadhani mtu ana uhuru kufanya kazi yeyote na popote apendapo.Mimi naamini katika dhana ya kufanya kile mtu apendacho.
Kazi inanoga kama mtu unaipenda na kuifurahia. Walimu hao kama wanafurahia kufundisha shule za msingi tuwaache na tuache kushangaa!
 
no way, mis-use of resources, ni sawa na kwenda sokoni kufanya shopping ukitumia semi trailer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…