Tetesi: Serikali yadaiwa kumvua uraia Padri wa Kanisa Katoliki

Hakuna mtu mwenye asili ya tanzania, wote hapa ni wahamiaji haramu, kabla ya wazungu kugawa mipaka ya nchi mbalimbali kwa ajili ya makoloni yao most of makabila yalitokea maeneo ya central africa na mengine north africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Watanzania acheni ushabiki wa kisiasa katika masuala muhimu ya nchi, hususan ya amani, utulivu na usalama. Hao wote waliotajwa wanamizizi katika nchi ambazo zimemwaga damu. Hivyo, wangependa waione TZ inaingia huko. Kumbukeni kwamba, nchi ya kishosharisti ya Urusi, USSR, ilisambaratishwa na Rais Gobachevu, ambaye mizizi yake ipo Marekani. Marekani walimtumia na nchi ya Urusi ikasambaratika. Hivyo, hata kama watu hao walizaliwa TZ, kuna haja ya kuwafuatilia kwa kuna juu ya maneno na vitendo vyao. Uhamiaji fanyeni kazi yenu, msiogope maneno ya wana siasa au wana harakati wa haki za binadamu, hao wanafadhiriwa wa watawala wetu wa zamani.
 
vizuri, sasa nikuulize kwanini mtu ahojiwe uraia wake pindi tu akiongea maneno ya kuikosoa siri kali?
Wanahojiwa kila siku sema tu huwa hupati taarifa mpaka atakaye hojiwa awe ni mtu anayejulikana. Kuna watu wengi sana wanahojiwa kila siku usiku na mchana lakini hupati taarifa. Wahindi, Warabu, Wasomali, Wakongo, Wazungu na wengine wengi. Askari wa uhamiaji ndo kazi zao wakikushuku huwa wanataka uthibitishe uraia wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi ipo kwenye giza nene sana


Nina uhakika leo hii huyu Rais Magufuli akiambiwa akaonyeshe Makaburi ya Babu na Bibi zake huko kwao Geita, I am sure he'll never show nothing...!Kuna tetesi kuwa hata yeye siyo Mtanzania ni Mnyalenge au Intarahamwe toka Rwanda au Burundi...!!!
Hivi huyu Joka Magufuli ana tofauti yoyote na NDULI IDDI AMIN DADA(rip) aliyeitawala Uganda kwa mabavu?
Kilichomwondoa Nduli Idd Amin pia kitamwondoa huyu Joka mwenye sumu kali kwa Uhuru na Demokrasia ya Watanzania...!!!
 
Kwa hiyo anaanza utaratibu nchi nzima kuwaondoa au mpaka utoe tamko fulani ndio uchunguzi uanze
Kiukweli kwa [mtazamo wangu] serikali inafanya mpinduzi makubwa ya kusahihisha utendaji wa watendaji wake bila ya kujali wananchi wametoa matamko gani.

Ukitoa matamko ya kisiasa wakati hauna mtiririko mzuri wa kumbukumbu za uraia wako au ulipaji wa kodi basi ujue una harakisha hayo mapinduzi ya kujisahihisha serikali yakukute haraka sana kuliko wenzio.

Ukitaka siasa hasa za kukosoa wenzio anza kutafuta makaburi ya mababu zako na hakikisha unafuata sheria zote za nchi vizuri. Kwani nawe utaanza kuhojiwa, kukosolewa na kuwajibishwa kwa mapungufu yako kama unavyo wakosoa wenzio na kujaribu kuwawajibisha kwa mapungufu yao. Sasa usipofanya hivyo yakikukuta mapigo mazito usitafute huruma toka kwa jamii/wananchi vinginevyo wewe jali yako kaendelee kufanya shughuli zako za kiroho au kibiashara kimya kimya.
 


Baada ya hao anaefuata ni mkurugenzi wa JF Maxio Melo,
Hii ndo CCM bwana,ukileta fyoko unashughulikiwa.sasa humu jf mnajifanya kutiririka sasa watamshughulikia Melo na jf itakwisha
 
For the security purpose of ourselves, mali na taifa letu.....hakuna namna......tuwe pamoja ktk kujaribu kuwareveal watu wanaohamia nchini kwa kutumia cover ya kujishughulisha na majukumu nchini.....ni hatar sana .....tuwe wadadisi ktk mauala ya kiusalama wetu wenyewe.
 
Sasa kama bibi na babu yake wako hai ataonesha kaburi lipi?!!
 
Haya mambo haya kwanini Jamani,!?
 
Rubbish!
 
Ninachoelewa kila jambo lina muda na muda haumsubiri mtu!!Yote yatapita!!Just matter of time!!Time don't wait!!Mungu atupe uzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…