Serikali yaeleza kusikitishwa na uamuzi wa Denmark kufunga ubalozi wake

Serikali yaeleza kusikitishwa na uamuzi wa Denmark kufunga ubalozi wake

kufifisha demokrasia, uhuru wa habari na ukiukwaji haki za binadamu.
ni kweli tangu 2015 nchi hii imekuwa kama geleza - wananchi wanaishi kwa wasiwasi hasa ambao wana mawazo mbadala. CCM wanataka watu wote mil 60 tufikiri kama wao - hii ni mbaya sana.
 
Mulamula anasema serikali ya awamu6 inafufua mahusiano yaliokufa awamu ya 5.
Samia anasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja.
MaCCM yanasema KICHAA alikua SHUJAA.
Wafadhili /Mabeberu lazima wawashangae, na wanaona ni Serikali iliojaa uhuni na ubabaishaji mwingi.

Mungu awabariki sana Wazungu.!
Kama yalikuwa yamekufa awamu ya 5 mbona hawakuondoka kipindi hicho wanatoa Notice ya kuondoka sasa? ...
 
Huyu bibi bwana, huku mtaani kazingua, chamani hawamtaki, serikalini wanamchora na sasa hata wazungu wenzie anawavuruga. Kabakia na gaidi la msoga
 
Ungetuletea details uamuzi wao ni wa lini na kwa sababu zipi siyo kukimbilia kusema watanzania ni wavivu wa kufikiri. So what ?
Kila kitu tuletewe, uzembe wetu mwingine. So uzembe wa kufikiri unatufanya tu-draw wrong conclusions.
 
Usiwe mvivu kudadavua mambo.
Inaelekea una IQ ndogo.
Baada ya mwendazake miaka mitano na miezi ya kuona hali ki nchi inaendelea kuzorota kwatika fani ya Haki za binadami, kufokewa na Mulamula, business as usual a la Mwendazake.
Halafu unashindwa kuunganisha dots.
Pengine upigwe radi ya kichwani!
Mkuu, habari ya IQ sijui na wewe mwenye IQ sijui umeunganisha dots ngapi. Hoja yangu ni kuwa uamuzi wa Danmark haukufanyika kwa siku moja hivyo tusiuhusishe na aliye katika nafasi ya Waziri wa Mambo ya nje.
 
wa denish wamechacha hawana extra money za misaada
 
Mkuu, habari ya IQ sijui na wewe mwenye IQ sijui umeunganisha dots ngapi. Hoja yangu ni kuwa uamuzi wa Danmark haukufanyika kwa siku moja hivyo tusiuhusishe na aliye katika nafasi ya Waziri wa Mambo ya nje.
Ndio maana nasema una uwezo mdogo sana kudadavua mambo.
Kama kuzorota kwa Haki za Binadamu toka wakati wa Mwendazake, halafu sasa tuna Waziri wa Awamu ya Sita, aliyetegemewa kueleza kuboreka kwa hali hiyo, akashindwa kwa kuwafokea hao Mabalozi wa nchi zao, sasa unategemea dots za ajabu zipi nyingine , nawe umeshindwa kuziunganisha hizo?
 
Kila kitu tuletewe, uzembe wetu mwingine. So uzembe wa kufikiri unatufanya tu-draw wrong conclusions.
Hata hicho kidogo nilichouliza umeshindwa kutoa. Nani mzembe sasa ?
 
Back
Top Bottom